Wewe unatega ndege halafu unasubiri hapo hapo nenda katembee kwanza.wakuu mbona kimya?
Maamuzi yoyote yaliyotolewa wakati wa Nyerere yalikuwa ni yake peke yake, siku hizo ilikuwa hakuna demokrasia wala alikuwa hashauriki mpaka akawahi kupewa jina "Haambiliki".
Tanzania sijui, najuwa kuwa Tanganyika ilikuwa chini ya Umoja wa Mataifa mpaka tunapopewa madaraka.
Katiba za nchi nyingi duniani zinampa nguvu rais, either personally au through his ministers and other Executive appointees kuingia mikataba ya kimataifa bila kuhusisha bunge.marekani hakuingia UN hivihivi sanate iliridhia,je sisi ilikuaje?kama tulifanya makosa tueleze hapa ili tujifunze.
Katiba za nchi nyingi duniani zinampa nguvu rais, either personally au through his ministers and other Executive appointees kuingia mikataba ya kimataifa bila kuhusisha bunge.
Siyo lazima kila kitu kihusishe bunge, that's just too bureacratic sometimes, na wabunge wenyewe vilaza kama hawa wa viti maalum humu mitandaoni wanatia kinyaa, bora hata wasihusishwe.
Ndiyo.katiba yetu ilimpa nyerere uwezo huo wa kujiingiza UN bila kushirikisha bunge?
bado sijapata jibu la kuridhisha.great thinkers mko wapi?
Kwa njia yoyote kuingia UN ilikua ni kitu muhimu no matter how that happens. Inawezekana hakukua na utaratibu huo wa bunge kwa Tanzania wakati huo au kama ulikuwepo basi inawezekana kwa sababu ya mfumo wa chama kimoja ilikua sio rahisi kua na upinzani wa nguvu.
Kwa hali yoyote UN ndio tumeshaingia kama tunaona ilikua ni makosa basi la muhimu kwa sasa ni kujadili vipi tutatoka.
faiza foxy kuwa muwazi,ina maana watanzania(au watanganyika) tuliingizwa UN bila ridhaa yetu?hii ina maana gani kisheria?
Bunge halikushirikiswa....kwa mfumo huohuo wa chama kimoja je bunge lishirikishwa au yalikuwa ni maamuzi ya mtu mmoja?tunapoel