Kwa mara ya kwanza Tanzania kupitia Benard Membe imesema iko tayari wakati wowote kujiingiza katika vita vya DRC kwa lengo la kumsaidia Joseph Kabila dhidi ya waasi wa M23, chini ya mpango wowote.
Source:BBC
DRC ni muhimu kiuchumi na usalama kwa Tz. Tusilalame kupinga kila kitu bila hoja za msingi.
Mission imposible!
Safi sana askari wetu wanaoteana vitambi hawana kazi waende wakale jasho lao sasa
Kwa mara ya kwanza Tanzania kupitia Benard Membe imesema iko tayari wakati wowote kujiingiza katika vita vya DRC kwa lengo la kumsaidia Joseph Kabila dhidi ya waasi wa M23, chini ya mpango wowote(UN, SADC, AU au LIWALO NA LIWE)
Source:BBC