Tanzania ijifunze toka Tunisia; Wananchi wakizidiwa watawala hutimuliwa

ardhi kumetokea nini??? Nimekosa newz leo jamani, nipo safarini, na hicho ni chuo changu cha zamani, nakuombeni mnijuze
 
Haya yanayotokea sasa yalionwa wakati ule na Kolimba wakamkolimba, nchi haiongozwi bila dira!!!! :amen:
 
Kwa nilivyoona kwenye news usiku huu, ya chuo cha aridhi na huko songea na majibu ya Chiligati. CCM its over and over.

Fafanua vizuri, ujue wengine hatukuiona taarifa ya habari shauri ya mgao wa umeme, oohooo!!
 
wengine hatukuona hayo tujuze

ndugu yangu wanachuo wote wameandamana mpaka board ya mikopo kwa kuwa hawajalipwa pesa zao. Chakushangaza officer wa board hiyo anasema majina ya wanachuo yamefika leo asubh. Inatia hasira sana hata Rais wa cho hajakubaliana na argue hiyo.
 
Tujulishe mkubwa kimetokea nini huko ardhi?

Jaman inasitisha sana. Wanalazimisha kulipa dowans wakati nachuo wa ardhi Dar na ustawi wa jamii Songea hali zao ni mbaya mno. Chuo cha ardhi mkopo hawajapata na Songea hawapati maji safi. Kwaniii? Jk akiachia ngaz mi ndo naona atakua shujaa
 
Nimesikitishwa sana na niliyoyaona na kusikia kuhusu chuo cha ustawi wa jamii Songea, jitihada za haraka zinahitajika kutatua hili tatizo la mikopo.
 
Tujulishe mkubwa kimetokea nini huko ardhi?

Jaman inasitisha sana. Wanalazimisha kulipa dowans wakati nachuo wa ardhi Dar na ustawi wa jamii Songea hali zao ni mbaya mno. Chuo cha ardhi mkopo hawajapata na Songea hawapati maji safi. Kwaniii? Jk akiachia ngaz mi ndo naona atakua shujaa
 
Ndugu,bila siasa fika hata mlimani ujionee. Kuna kitu kinanishangaza,wanachuo wengine walipewa hela kidogo kwa ajili ya mwanzo wa semesta kujikimu,kiasi ambacho wengi walikitumia kujazia %ya karo. Wakiwa wamesubiri sehemu ya pili ya posho,tayari wako hoi jamani. Nimesikitishwa na wanachuo hao ambao baadhi wanaosoma mbali kama faculty ya habari na utangazaji iliyo nje ya main campus,yan Mikocheni ,wameshindwa kwenda na kurudi hostel za mabibo na main compus,wengi wao wameamua kukaa hostel bila kwenda lecturers kwa kusubiri wapate boom la pili waweze pata nauli. Hawa akina dada watakwepa kweli vishawishi? Serikali inafikiriaje kuwa na HESLB mbovu ivi? Jamani ndugu zangu,Tanzania tunajenga taifa la watu wa baadae watakaokuja kuwa wachungu sana. Ndani ya miaka 3 ijayo,nchi itakuwa na wasomi walionyeka vya kutosha na cjui serikali hii itapitia mlango upi. Kama hali hii ipo Udsm,je vyuo vilivyo nje ya dar vina hali gani?
 
Watanzania ndo aina ya watu pekee katika bara la AFRIKA wasiojua haki zao na ndio pekee ambayo ni self /automatic adjusted..ukifanyika ujinga sehemu na wananchi kuongezewa bei ya kitu ili kufidia ujinga huo,watu wanajiadjust na kujinyima zaidi ili kuendena na hiyo hali.HEBU TUACHE USHABIKI WA VYAMA..CCM HII HII INAENDA KUTAWALA TUNISIA /ALGERIA/ZAMBIA /KENYA AU MISRI.HALAFU INALETA MAMBO KAMA INAYOWAFANYIA WATANGANYIKA KWELI NAWAAMBIA LAZIMA VITA VYWA WENYEWE KWA WENYEWE VITAZUKA TU MANAKE WATU WA HUKO WANA ZERO TORELANCE .UNALETA ZA KULETA WANAKUFANYIA
 
Back
Top Bottom