Tanzania ijifunze toka Tunisia; Wananchi wakizidiwa watawala hutimuliwa

haitawezekana kwa sababu hizi
-watanzania wengi ni mafisi[waoga]wa kutupwa
-wengi wetu ni waoga wa virungu na bunduki
-wengi tuna UMIMI ,utasikia[nikaandamane badala ya kutafuta fedha familia yangu ile au niumie mimi wale kuku wengine, mashuleni na vyuoni wengi huandamana kw kulazimishwa hasa kuchelea kipondo.]
-hatuna umoja kwenye maswala yahusuyo utaifa[ tumebaki kuwa wazungumzaji wazuri sana]
-intelijensia unit [usalama wa taifa] wametapakaa kila kona,yawezekana akawa mkeo au ndugu wa karibu,watu wa dizaini hii shule za boarding tuliwaita MAYUDA.
-hatuwazi ya kesho tukifanikiwa kupata leo.
-samahani kwa hii sentensi,ILA WENGI WETU NI KAMA WATOTO WA KIKE,TUKIPEWA AHADI NZURI ZA UONGO TWARIDHIKA NA KULALA PONO.
-Wamesha tugawa kwenye makundi ya umaskini, ukwasi na udini.kwa hiyo kuungana pamoja kama tunisia inakuwa ngumu kwani maskini yupo juani kila siku kutafuta mkate wake wa kila siku,mkwasi anaogopa maandamano kulinda mali zake na wadini kila siku kulumbana

LABDA VYAMA VYA UPINZANI VIANZE KAZI YA KUONDOA HAYO MATABAKA KWA KUPANDIKIZA MBEGU YA URAIA NA MAPINDUZI MTAA KWA MTAA

hapo mkubwa umenena
 
hapo mkubwa umenena

lililotokea tunisia linaweza kabisa kutokea hapa tanzania kwa sababu hizi

1. Kwa utendaji huu wa makamba kuburuza nchi akichekewa na baraka za mkwere pamoja na propaganda za chama cha chukua chako mapema na-

2.vitisho vya mauaji ya raia vinavyofanywa na ccm b -polisi,

3. Ufisadi huu wa mali za umma waziwazi -dowans, eti pesa zimeibiwa uwanja wa ndege na

4. Kwa watawala kutumia dini kufunika madhambi yao

5. Kwa uchakachuaji wa madaraka na ripoti mbalimbali za kitendaji

6. Kwa ubabaishaji katika kuhudumia wananchi kwa dhati nk...

Lilitokea tunisia linaweza kutokea hapa kwetu tanzania sio miujiza -wale watu waliopondwa na virungu na risasi arusha ni chachu ya hilo, tunisia wana hali nzuri sana kimaendeleo kulinganisha na sisi. Watanzania wameamka sio mabwege tena, sio mazuzu tena, wanajua haki zao.
 
Hilo linawezekana tena kipindi hichi hichi ambacho bado mambo ya kifisadi hayajapoa,,,,,,,,tatizo who will make the first move? Arusha ni mfano mzuri sana........
 
hapo mkubwa umenena

lililotokea tunisia linaweza kabisa kutokea hapa tanzania kwa sababu hizi

1. Kwa utendaji huu wa makamba kuburuza nchi akichekewa na baraka za mkwere pamoja na propaganda za chama cha chukua chako mapema na-

2.vitisho vya mauaji ya raia vinavyofanywa na ccm b -polisi,

3. Ufisadi huu wa mali za umma waziwazi -dowans, eti pesa zimeibiwa uwanja wa ndege na

4. Kwa watawala kutumia dini kufunika madhambi yao

5. Kwa uchakachuaji wa madaraka na ripoti mbalimbali za kitendaji

6. Kwa ubabaishaji katika kuhudumia wananchi kwa dhati nk...

Lilitokea tunisia linaweza kutokea hapa kwetu tanzania sio miujiza -wale watu waliopondwa na virungu na risasi arusha ni chachu ya hilo, tunisia wana hali nzuri sana kimaendeleo kulinganisha na sisi. Watanzania wameamka sio mabwege tena, sio mazuzu tena, wanajua haki zao.
 
sisis sio waoga inawezekana sana tena sana , nikulize unapoajiliwa kwenda jeshini si ni kwa ajiri ya kupigana , wakuu wako wa kazi wanapokuamrisha uanze kupigana hasira za kupigana huwa unazitoa wapi wakati unayepigana naye hajakukosea wewe binafsi, hivyo basi sasa hawa mafisadi wametukosea Live, wametunyanyasa kwa Muda mlefu mie nipo kariakoo, ninasiku kumi natumia Generator karibu naanzakukoa kwa moshi maana jenerator ya Mchina ni miezi mitatu tu, na haitakiwi kufuliza, nimekula mtaji kwa kununua mafuta kwa siku natumia mafuta ya shi.15,000.00 kudhalisha elfu ishirini wakti umeme tunachanga elfy moja kwa siku, sasa ukiniambia nijiunge nitaacha wakti nina hasira?
 
Tatizo mkuu Pentest wabongo hatutaki kufa wachache wengi wapone kila mmoja wetu anataka kusimulia baadae,acha mbali hata hapa tunajificha kwenye majina haya feki inafika mpaka mtu anafiwa hasemi msiba uko wapi tukatoe pole,sasa sisi tunaweza kujitoa kufa kwa ajili ya taifa kweli ?
 
hapo mkubwa umenena

lililotokea tunisia linaweza kabisa kutokea hapa tanzania kwa sababu hizi

1. Kwa utendaji huu wa makamba kuburuza nchi akichekewa na baraka za mkwere pamoja na propaganda za chama cha chukua chako mapema na-

2.vitisho vya mauaji ya raia vinavyofanywa na ccm b -polisi,

3. Ufisadi huu wa mali za umma waziwazi -dowans, eti pesa zimeibiwa uwanja wa ndege na

4. Kwa watawala kutumia dini kufunika madhambi yao

5. Kwa uchakachuaji wa madaraka na ripoti mbalimbali za kitendaji

6. Kwa ubabaishaji katika kuhudumia wananchi kwa dhati nk...

Lilitokea tunisia linaweza kutokea hapa kwetu tanzania sio miujiza -wale watu waliopondwa na virungu na risasi arusha ni chachu ya hilo, tunisia wana hali nzuri sana kimaendeleo kulinganisha na sisi. Watanzania wameamka sio mabwege tena, sio mazuzu tena, wanajua haki zao.
 
How ?????

Kuna jamaa alianza kujichoma moto wa petroli na kujiua baada ya kunyang'anywa mboga alizonunua sokoni na Polisi! Hapo ndio mambo yalipoanzia! Sisi tulitakiwa tuanzie pale Arusha baada ya ndugu zetu kuuawa na Polisi! Anyway, we still hav the opportunity: MALIPO HARAMU YA DOWANS!
 
Uzuri wa tz hata polisi wa sio na vyeo wamechoka na hali ya maisha,naamini watatuunga mkono ktk ukombozi wa nchi
 
hatuwezi na hatutaweza ka sababu hatujawa na wanasiasa wanaoweza na hatujawa tayari. Tunaweza kufanya kama Somalia, waweza niuliza kivipi?
Jibu langu ni kama ifuatavyo: IKIWA WATU WANGALI NA UMIMI UNATARAJIA NINI? WAKIANDAMANA HAWA WALE HAYAWAHUSU! NA WAKIANDAMANA WALE SISI HAYATUSHUSU... mapande mapande kisha mpate ukombozi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chadema bwana leo wanayatamani mambo ya wanywa kahawa na tende..
 
Chadema bwana leo wanayatamani mambo ya wanywa kahawa na tende..
 
Hilo linawezekana kabisa kama tutaweza kujitoa muhanga kwa ajili ya mustakabali wa taifa hili. A-town wameanza kwa mfano hai. We just have to follow the suit...
 
Matatizo ya Tunisia unayajua vizuri lakini? Kabla ya Tunisia walisema ifanyike kama Kenya, then kama Ivory Coast... na sasa Tunisia!
Kwa mdomo tunaweza na tunajitaidi kwa matendo!!!! Anza wewe!!! Kwa hekaya na mifano tunajitahidi sana... kisha husemwa Hao ndio Watanzania
 
Kuna jamaa alianza kujichoma moto wa petroli na kujiua baada ya kunyang'anywa mboga alizonunua sokoni na Polisi! Hapo ndio mambo yalipoanzia! Sisi tulitakiwa tuanzie pale Arusha baada ya ndugu zetu kuuawa na Polisi! Anyway, we still hav the opportunity: MALIPO HARAMU YA DOWANS!
Mwana jamvi, hapa kwene mtandao na kuangalizia kwene tivii inawezekana sana! pango mingi ilishafanyika lakini utekelezaji haupo! na ukiwapo ni duni kabisa chini ya kiwango! Tanzoo
 
Jameni tuamke sasa tusifanye vitu kama bado tunatawaliwa na wakoloni tupo huru lkn bado tunatawariwa hata kuamua hatma ya maisha ya watoto wetu???

Lini nasi(kizazi hiki) tutabaki kwenye kumbukumbu yakuwa tumeitetea nchi kama wazazi wetu walivyo itetea nchi kipindi cha ukoloni?

Ji ulize wewe mtoto wako atako kuuliza hivi 'Baba/Mama kwanini hii nchi ni masikini' 'kwanini watu wa hii nchi hawahoji mambo yanayo fanyika hovyo hovyo'

Au hatufikirii hata kidogo kuwa kuna maisha ya watoto wetu na wajukuu wetu miaka ijayo? tunafikiri sisi ndiyo wamwisho kuishi hapa duinia yaani ndiyo kizazi cha mwisho hiki.???

Kiukweli nchi hii inako elekea sio sahihi hata raisi hazungumzi kitu kweli? Badala yake anakwenda kwenye mazishi ya mtu furani, Birthday ya mtu ili hali kuna mambo ya kuyatafutia ufumbuzi.
Nakumbuka kauli ya JK Nyerere alisema ikulu ni mahali pashida.. hakuna kupata usingizi kila kukicha unaomba lisitokee jambo majambo kama haya lakani viongozi wetu hawajari kabisa tena wao ndiyo vinara wa matukio hayo na mwisho wa siku wanashindwa kutoa maamuzi kwa sababu nao wamo ndani ya scandal.

Lazima tubadilike watanzania tutashindwa hata kukomboa nchi ikija chukuliwa na wageni tutabaki kimya kama hivi. maisha yanazidi kuwa magumu kupita kiasi ....tunabaki kimya hatusemi kitu hatuhoji wala hatuoni umuhimu wake.

nchi inaangamia hiii tuikomboe jamani watz wenzangu.
 
Kwa nilivyoona kwenye news usiku huu, ya chuo cha aridhi na huko songea na majibu ya Chiligati. CCM its over and over.
 
Back
Top Bottom