TANZANIA I.T YOUTHS ACADEMY ( Kwa kuendeleza vipaji)

Given Edward

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
850
202
Salamu Wakuu.
Nina wazo kwamba wizara au Taasisi husika au hata wadau watakaoweza kukaa kuunda Academy ambayo itaweza kuendeleza vipaji tofauti vya technology kama vile programming, web design, animation, hardware, graphics na vitu vya namna hiyo. Mtaani kuna teens wengi tu ambao wanafanya hivi vitu for fun. Hii Academy ndio ita act kama THT (Tanzania House of Talent) ya I.T. Hata pale wafanyakazi watakapohitajika, hii taasisi itakuwa ina recruit tu. Ni kama inavyokuwa kwa soccer schools. Mnaonaje wakuu? Nawasilisha.
 
Utekelezaji tu, wazo si baya ila linahitaji refinement kidogo.
 
niwazo zuri ambalo linaweza kutusaidia kupanuana mawazo na kujiendeleza zaidi kwa maana ya kubadilishana ujuzi!

acha niku pm kwanza!
 
Wazo zuri sana
Lakini huwa nashangaa sana watu wanapotaa kufanya kitu tena wanatenolojia wa ICT wanasisitiza kukutaana kwa style ya mwaka 1947.

Watu wanaweza kufanya conference skype au yahoo. Mtazamaji akiwa porini, mwingine akiwa, US mwingine akiwa tokyo. Wote kama watanzania Teknolojia intakiwa iwawezesha wafanye kitu fulani wa ushriania regarless of thier location As long as wana net.

ICT na internet imewezesha hayo ndio manaa tunaita tuko atika zama za dunia kama Kijiji(global village)Sasa mi nakumba Gienality wakati unafikria hilo fikriia mkutano kama mwana IT. Mambo ya kutegemea mikutano ya break point au Rose garden kama ya vikao vya harusi japo ni mazuri lakini hatuoneshi ikama tunatumia vilivyo hizi teknolojia zilizopo.

Developer wa Joomla au wordpress hawapo nchi moja. Infact unaweza kuanzisha thread hata hapa JF thread hiyo ikawa ndio "E-ukumbi" wa mkutano.
Ukisema mikutano wa njia ya kizamani utawatenga wa arusha , Dodoma mbeya , Mwanza na hata wale wa US na majuu. Ukifanya "e-mkutano" basi patauwepo na pool kubwa ya watu

But Nisikatishe tamaa endeleeni . Mi nitashiriki mambo yakishaiva. kama utakuwa karibu na kwenye wilaya niliyopo.
 
Wazo zuri sana
Lakini huwa nashangaa sana watu wanapotaa kufanya kitu tena wanatenolojia wa ICT wanasisitiza kukutaana kwa style ya mwaka 1947.

Watu wanaweza kufanya conference skype au yahoo. Mtazamaji akiwa porini, mwingine akiwa, US mwingine akiwa tokyo. Wote kama watanzania Teknolojia intakiwa iwawezesha wafanye kitu fulani wa ushriania regarless of thier location As long as wana net.

ICT na internet imewezesha hayo ndio manaa tunaita tuko atika zama za dunia kama Kijiji(global village)Sasa mi nakumba Gienality wakati unafikria hilo fikriia mkutano kama mwana IT. Mambo ya kutegemea mikutano ya break point au Rose garden kama ya vikao vya harusi japo ni mazuri lakini hatuoneshi ikama tunatumia vilivyo hizi teknolojia zilizopo.

Developer wa Joomla au wordpress hawapo nchi moja. Infact unaweza kuanzisha thread hata hapa JF thread hiyo ikawa ndio "E-ukumbi" wa mkutano.
Ukisema mikutano wa njia ya kizamani utawatenga wa arusha , Dodoma mbeya , Mwanza na hata wale wa US na majuu. Ukifanya "e-mkutano" basi patauwepo na pool kubwa ya watu

But Nisikatishe tamaa endeleeni . Mi nitashiriki mambo yakishaiva. kama utakuwa karibu na kwenye wilaya niliyopo.

Ahsante! What do you suggest, ianzishwe thread? Au skype conferencing? (with slow conn. of TZ?)
 
Ahsante! What do you suggest, ianzishwe thread? Au skype conferencing? (with slow conn. of TZ?)

Givenality Just push your idea.
U can Ignore hiyo advice niiliyotoa hapo juu sababu it once failed tulivyojaribu kufanya kitu fulani hapa. So wewe endelea but tujulishe tujue eneo la tukio tuone kama tunaweza kuwepo
 
Givenality Just push your idea.
U can Ignore hiyo advice niiliyotoa hapo juu sababu it once failed tulivyojaribu kufanya kitu fulani hapa. So wewe endelea but tujulishe tujue eneo la tukio tuone kama tunaweza kuwepo

Perhaps we should first try call conferencing.
 
Perhaps we should first try call conferencing.
Givenality Sio lazima iwe call conference inaweza ikawa chat conference. au hat foru m discussion then .wenye hizo chat conference au hata hapa kwenye forum mnaaandaa agenda , Mou Scope. objectives. etc

baada ya hapo hata siku ya kukutana basi inakuwa kuna kiazi kizuri na si kupoteza muda.
 
Sio tu accademy,tunaweza kwenda mbali zaidi kwa kuanzisha hata IT BOARD YA TANZANIA KAMA WATU WA CPA(T),CSP(T) nk.
Hembu tujaribuni ili tufanye kitu ili watoto wetu waje wajifunze na wajue baba zao walifanya kitu kwa maendeleo ya TZ!
 
Fanya mchakato kisha utujulishe niwapi pakuanzia.... nami pia nipo tayari kujitolea kwa hilo
 
Nna shauri wadau wanaopenda hili,kukutana and discus this.Mpaka sasa serikali imechemsha,na bado tena mwaka huu kupitia COSTECH wanazidi kuchemka. Tukutane kuanzisha hii kitu,mimi ntakuwa mmoja wao nina expertz in electronics,and IT engineering and animation
 
Great! Tunahitaji ideas tuanze vp. Perhaps kwa kuanzisha thread hapa JF iwe meeting point 1. Physically tukutane when all is set for implementation?
 
Givenality, you are a young great man. Don't put off the fire in you and serve your generarion faithfully...
 
Back
Top Bottom