TANZANIA: Historia ya Taifa Letu na Sheikh Yahya (RIP!)

- Lakini at the same token inasemekana alifukuzwa nchini na awamu ya kwanza, sasa nani ni mkweli? Maaana mimi maisha yangu yote utottoni nakumbuka alikua akiiishi Kenya alirudi pale tu siasa zetu zilipobadlika, sasa mkuu unafikiri ni kwa nini?

William @ NYC, USA.

Mbona unazunguka tu hutuelezi nani alimfukuza , na kwa nini? Au wewe una bifu na serikali ya awamu ya kwanza? Maana watu wamequote kwamba huyu mtu alitumiwa na Nyerere enzi hizo hata akaweza kumkamata Mwijage kule Swaziland. Hili hujakanusha , ila anapiga blah blah za kwamba alifukuzwa nchini. Na nakumbuka kwenye kile kitabu cha mwijage, alieleza jinsi huyu bwana alivyokuwa karibu na usalama wa Taifa, huku akitumia Bhalaghashia yake na unajimu kuonekana mtu safi , na hivyo kuwanasa watu mitegoni kiurahisi.
Ni sio siri, baada ya kujua ukweli ule wa Mwijage, yeye Shehe Yahaya hajawahi kupinga hilio. Tena basi, ndipo wengi tukaanza kumshuku huyu mtu na umeona jinsi alivyopuuzwa kwenye utabiri wake mwaka 2010. Aliposema Mgombea mmojawapo kati ya CHADEMA na CCM atakufa kabla ya uchaguzi, watu wakamshambulia, na matokeo yake akashindwa kukamilisha consipiracy yake. Slaa na Kikwete bado wanaishi. Hapo ndo alipoumbuka, kwani sasa akajitokeza waziwazi kwamba unajimu wake ulikuwa wa kisanii na alikuwa anatumia well calculated figures kutoka intelligency mbalimbali duniani kutoa utabiri wake. Tumeona alivyokubali mwenyewe kuwa anamlinda JK kwa majini yake. Sasa tukisema alikuwa msanii unabisha nini? Huyu mtu alikuwa ni sawa na assassin wengine wengi tu kama Carlos the Jackal, maana alikuwa anaandaa akili za watu kupokea matukio ya maangamizi in advance kwa "utabiri" wake wa kuelezwa mikakati na usalama wa viongozi.....
Tunaomba ueleze ni nani alimfukuza nchini, na ni nani alimrejesha pia....
 
Mbona unazunguka tu hutuelezi nani alimfukuza , na kwa nini? Au wewe una bifu na serikali ya awamu ya kwanza? Maana watu wamequote kwamba huyu mtu alitumiwa na Nyerere enzi hizo hata akaweza kumkamata Mwijage kule Swaziland. Hili hujakanusha , ila anapiga blah blah za kwamba alifukuzwa nchini. Na nakumbuka kwenye kile kitabu cha mwijage, alieleza jinsi huyu bwana alivyokuwa karibu na usalama wa Taifa, huku akitumia Bhalaghashia yake na unajimu kuonekana mtu safi , na hivyo kuwanasa watu mitegoni kiurahisi.
Ni sio siri, baada ya kujua ukweli ule wa Mwijage, yeye Shehe Yahaya hajawahi kupinga hilio. Tena basi, ndipo wengi tukaanza kumshuku huyu mtu na umeona jinsi alivyopuuzwa kwenye utabiri wake mwaka 2010. Aliposema Mgombea mmojawapo kati ya CHADEMA na CCM atakufa kabla ya uchaguzi, watu wakamshambulia, na matokeo yake akashindwa kukamilisha consipiracy yake. Slaa na Kikwete bado wanaishi. Hapo ndo alipoumbuka, kwani sasa akajitokeza waziwazi kwamba unajimu wake ulikuwa wa kisanii na alikuwa anatumia well calculated figures kutoka intelligency mbalimbali duniani kutoa utabiri wake. Tumeona alivyokubali mwenyewe kuwa anamlinda JK kwa majini yake. Sasa tukisema alikuwa msanii unabisha nini? Huyu mtu alikuwa ni sawa na assassin wengine wengi tu kama Carlos the Jackal, maana alikuwa anaandaa akili za watu kupokea matukio ya maangamizi in advance kwa "utabiri" wake wa kuelezwa mikakati na usalama wa viongozi.....
Tunaomba ueleze ni nani alimfukuza nchini, na ni nani alimrejesha pia....

Heshima kwako Nyumbu.

Nilivyomwelewa W J Malecela anataka michango yetu negetive na positive.Wewe umeonyesha negative side ya Sheikh Yahaya Hussein.
 
Heshima kwako Nyumbu.

Nilivyomwelewa W J Malecela anataka michango yetu negetive na positive.Wewe umeonyesha negative side ya Sheikh Yahaya Hussein.

Mkuu Ngngo,
Nakubaliana na wewe kwamba nimetoa negative side yake tu. Lakini si ndiyo mchango wangu ninaoujua kuhusu huyu bwana? Kwa sababu mimi sijawahi kupewa utabiri wake ,so sina sababu ya kuushuhudia.
Kuhusu influence yake kwa jamii, well inategemea na wale waliokuwa wamefaidishwa na kazi zake. Na kwa jinsi umati ulivyomzika, ni dhahiri kwamba alikuwa na influence fulani. Kwmaba ni nzuri au la hilo silijui. Maana positvity na negativity sometimes ni subjective to the beholder....
Sasa na wewe Mkuu, una mchango gani juu ya hii mada?
 
''National hero ila utabiri wake debatable''Malecela mi nadhani unajaribu kuumba sifa za kufikirika tu national hero kwa kipi??????kwa kuwaambia watz kuwa atakae jitokeza kupambana na JMK kwenye uchaguzi atakaufa????huko ni kubaka demokrasia,lakini ndivyo mlivyo chama cha magamba kila kitu kusifiana tu fika mahali kwa wewe uliefika sehemu mbalimbali zikusaidie kuwa na mtazamo tofauti na wenzio waliopo hapa wengi ni wanafiki tu kweli yao ni sio na wamelala usingizi wa pono.chukua ushauri huo wa bure.
 
...Nadhani, kuna sababu ya kumkumbuka mtu yeyote hata kama ni "mwendawazimu" na anayeonekana hana thamani. Ni vema basi tukatazama kwa jicho la falsafa juu ya kwa nini mtu akumbukwe. Kwa mema yake na au kwa mabaya yake. Mara zote waungwana hulonga, "matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno". Ni matendo yanayoonekana na yale yasioonekana yanayoweza kutumika kumpima mtu kwa jinsi yake na kwa haki yake.

Shaykh Yahya al-Hassanayn bin Hussayn amekufa kama walivyokufa wale wa kabla yake na yaliyobaki ni mapisi yake yapisiyile. Akumbukwe kwa yale aliyoyafanya katika uhai wake na jinsi yake. Mwenyezi Mungu Amuweke mahala anapostahili kwa jinsi ya haki na stahili yake.... InaliLLAH waina ilyah rajiun.
 
Kwa mwenye imani ya mizuka ni dhahiri atamwimbia nyimbo nyingi, lakini kwa mwenye kumwona kama mtishaji na mdhalilishaji wa saikolojia tutamwona kama ni mtu aliyependa kutumia njia za gizani ili kujenga jina na maisha yamwendee vema badala ya njia ya mwana ambayo wenye imani ya mola wanaiendea.

hizo ndio njia gani?
 
Malecela vipi wewe!! Unataka tukumbuke mambo tuliyokuwa tunafanya Misri? Tumesha toka huko baada ya kujua keli na kweli imetuweka huru!!
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-

- Kifo cha Sheikh Yahaya jana, kimetushitua wananchi wengi sana hasa wale tuliomzoea toka enzi za Utawala wa Awamu Ya Kwanza, I mean you wanted to ignore the guy lakini he was all over the map coming from Kenya, enzi hizo kwenye mabazeti ya Taifa na Baraza, ambayo kuwa nayo Tanzania ilikuwa ni very luxurious.

- Ninakumbuka ukiyaona hayo magazeti, hasa kwa kuomba kwa waliokuwa nayo, the first thing you wanted ilikuwa ni kukimbilia kwenye ukurasa wa Nyota na Utabiri wa Sheikh Yahaya, as opposed na miaka ya karibuni na hadi kuelekea kutangulia kwake kwenye haki.

- Ni muhimu wana-hisstoria wa taifa hili wakampa nafasi Marehemu, of his role either positive au negative katika maisha ya wananchi hasa enzi za Cold War: Je Historia imuhukumu vipi ndugu zangu?


William @ NYC, USA.
 
tucbishanie somebody hu z olready dead n gone!hakuna walio hai wa kuwaongelea?...kwann hiz topics abt him zcngeanza b4 his death ili yeye mwenyewe atuambie kwa kinywa chake?....:shut-mouth:
 
Mimi namfahamu huyu bwana SHEIKH YAHAYA kama mchawi maarufu hapa Tanzania na Duniani,ni heri amekufa mana angeharibu kizazi chetu hapa Tanzania,KURU NAFS DHAI KATUR MAUT
 
Back
Top Bottom