TANZANIA: Historia ya Taifa Letu na Sheikh Yahya (RIP!)

Nilipoona mara ya kwanza nilifikiri Oatmeal ndiyo ile tuliyokuwa tunapata lunch tuliyozoea kuiita bulga, lakini kwa uchunguzi zaidi ni tofauti maana Oatmeal maji moto yanatosha kuchanganya mkoroga na mlo umekamilika, lakini ile bulga ilihitajika kupikwa kweli kweli kwa wenye miraba minne kuchochea kuni. Na ukila mtu wajisikia umetulia class room ya extended, upper primary, na hata kule secondary level education.

Unimekumbusha niwapate hawa wa USAID niwaulizie ile kitu iko wapi, maana wanafunzi na wanachuo wa siku hizi wakiipata ile hata maandamano yatatoweka.
Mkuu wangu Bulga ndio Oatmeal isipokuwa oatmeal inakuwa precooked kama unga wa mahindi tunaopata kutoka Mexico upo ambao ni pre cooked.

Halafu ktk majadiliano haya ni muhimu tuingize vitu vya maana kama hivi kwani nilitaka tu kuongezea kwa nini haswa serikali yetu iliposisitiza KILIMO KWANZA haikuchukulia kipaumbele kilimo cha ngano badala ya mahindi kwani ngano unaweza tengenza vyakula vingi toka mikate, chapati, keki, mandazi (donuts), pasta na vyakula vyote vya Kitaliani wakati mahindi ndio Ugali tu, na kilimo chake kingeweza kulimwa na wananchi wenye mashamba madogo madogo.
 
Mkuu wangu Bulga ndio Oatmeal isipokuwa oatmeal inakuwa precooked kama unga wa mahindi tunaopata kutoka Mexico upo ambao ni pre cooked. <br />
<br />
Halafu ktk majadiliano haya ni muhimu tuingize vitu vya maana kama hivi kwani nilitaka tu kuongezea kwa nini haswa serikali yetu iliposisitiza KILIMO KWANZA haikuchukulia kipaumbele kilimo cha ngano badala ya mahindi kwani ngano unaweza tengenza vyakula vingi toka mikate, chapati, keki, mandazi (donuts), pasta na vyakula vyote vya Kitaliani wakati mahindi ndio Ugali tu, na kilimo chake kingeweza kulimwa na wananchi wenye mashamba madogo madogo.
gharama za kulima hiyo ngano zikoje na maeneo gani inakubali? Hivyo vyakula ulivyoshauri ni gharama sana kuvitengeneza. Mafuta nk. Maana ukianza ngano, utawaambia walime na alizeti! Na output kwa acre ya kilimo cha ngano sidhani km inafanana na mahindi. Labda walime km zao la biashara maeneo inapokubali na si km mahindi ambayo yanastawi nchi nzima.
 
Yap, mkuu wangu Bulga ndio Oatmeal..sema sisi tulipewa bulga bila kuchanganywa na maziwa linachemshwa tu.
Nasikia ilisimamishwa, baada ya kugundulika kuwa kuna vitu viliwekwa kwenye ile ngano, ili watoto waje kuwa mataahira baadae. Na hata yele mafuta yalipatikana na kashfa ya kuwemo vitu vyenye kusababisha matatizo ya kizazi.

Ila ule uji ulikuwa mtamu, wacha bana.
 
sema huyu william@USA NYC kama sharubaro vile maana anaipenda marekani mwenyewe.mimi nitakaa bongo hapa na tutatengeneza pesa kama carlos slim.na atumuhukumu mnajimu yahya sema kutabiri ni dhambi mungu apendi.halafu utabiri wake ulikuwa uwongo kama kutishia watu wasichuke fomu za urais,2010 kwa kuwatishia mauti"utafikiri yeye ni mungu".
 
Nasikia ilisimamishwa, baada ya kugundulika kuwa kuna vitu viliwekwa kwenye ile ngano, ili watoto waje kuwa mataahira baadae. Na hata yele mafuta yalipatikana na kashfa ya kuwemo vitu vyenye kusababisha matatizo ya kizazi.

Ila ule uji ulikuwa mtamu, wacha bana.
Nakumbuka lakini nadhani ilikuwa propaganda za kisiasa tu. Mwenzako naondoka na bulga hadi leo maanake nimekuzwa na Uji sii chai hivyo itakuwa kazi kubwa kuacha bulga langu.. Aaaaah Nyerere kweli alitukomaza.
 
SHEIKH YAHYA HUSSEIN NYUMA YA PAZIA LA UNAJIMU!

NI KWELI SHEIKH YAHYA ALIKUWA MNJAJIMU. TUNASIKITIKA KWA KFO CHAKE. WATANZANIA WENGI TULIMPENDA KWA JINSI ALIVYOMPTEZA HOJA ZAKE ZA KINAJIMU. TUMEMPOTEZA MNAJIMU NGULI. HATA HIVYO, NYUMA YA PAZIA, KIPINDI CHA AWAMU YA KWANZA SHEIKH YAHYA ALIKUWA SHUSHUSHU NA ALIKUWA AKIPEWA MAJUKUMU MAZITO YA KUTAFUTA TAARIFA ZA KIINTELLIJENSIA ZINAZOWAHUSU WATU WALIOKUWA WAKIMPINGA MWL. ALIWAWINDA, ALIWAANDAMA, ALIWATEGA NA ALIWAPATA WENGI SIO MCHEZO. AKITUMIA KIVULI CHA UNAJIMU ALIWAPATA WENGI. SOMETIMES ALIKUWA "agent in situ" KATIKA ASASI na MATUKIO MBALIMBALI. SHEIKH YAHYA ALIFANYA KAZI YA USHUSHU KWA COVER YA UNAJIMU. WATU WENGI AFRIKA MASHARIKI NA KATI WANAMFAHAMU KAMA MNAJIMU MAARUFU. KUNA JAMAA ZANGU, AKINA MKINDI, KOMBE, N.K. HAWA WALIKUWA WENZAKE WAKIWA WAMESAMBAZWA NCHI MBALIMBALI WAKIWA NA MTANDAO WENYE NGUVU CHINI YA MWAVULI WA WASHAURI WA WAPIGANIA UHURU, NAM, BALOZI N.K. NDUGU YANGU LUDOVICK MWIJAGE ANAMFAHAMU VEMA SHEIKH YAHYA. KUKAMATWA KWA NDG. LUDOVICK NCHINI BOTSWANA NI KWA SABABU YA MKONO WA SHEIKH YAHYA. EBU NIWAPE KIDOKEZO; SHEIKH YAHYA AKITUMIA USHUSHU ALIWEZA KUMPORA DOCS NDG LUDOVICK HOTELINI, BAADA YA HAPO LUDOVICK KILA MAHALI BOTSWANA ALIJIKUTA AKIWA ANASAKAMWA NA MASHUSHU, KUANZIA WALIOJIFANYA MARAFIKI ZAKE, WAHISANI WAKE NA HATA WASHIKAJI ZAKE. MWISHO WA SIKU HAWA MASHUSHUSHU WALIWEZA KUMLISHA MADAWA NA KUMKAMATA NA HATIMAE KUMREJESHA TANZANIA! HAWA WAKUSEMA SEMENI!
 
gharama za kulima hiyo ngano zikoje na maeneo gani inakubali? Hivyo vyakula ulivyoshauri ni gharama sana kuvitengeneza. Mafuta nk. Maana ukianza ngano, utawaambia walime na alizeti! Na output kwa acre ya kilimo cha ngano sidhani km inafanana na mahindi. Labda walime km zao la biashara maeneo inapokubali na si km mahindi ambayo yanastawi nchi nzima.
Mkuu wangu ndio maana nilizungumzia KILIMO KWANZA kwa sababu mkakati wa kilimo kwanza umesisitiza matumizi ya mbegu za kisasa, mbolea, umwagiliaji na kadhalika kiasi kwamba mazao mengi ya asili yamepotea na tunazo mbegu za kisasa ambazo vyakula vyake vimepanda bei vibaya sana. Ngano ni moja ya mazao yanayovumilia sana Ukame na hulimwa kwa musimu kama mahindi tena naweza sema kila zuri lililotangazwa kuhusiana na kilimo kwanza linakwenda na kilimo cha ngano zaidi.

Wapi ngano inaota tanzania nadhani hilo ndio lingekuwa ktk utafiti wa wasomi wetu wa kilimo mapemna kabla ya ku-itroduce kilimo kwanza kwa sababu ni bora zaidi kucheza kamali kwenye kilimo cha ngano ambayo soko lake ni kubwa kupita kiasi kuliko kusisitiza ukulima wa mahindi na mpunga kwa kutuletea mbegu mpya ambazo zinahitaji matunzo makubwa ya mbolea na umwagiliaji wakati mvua zetu nazo hazina muanama. Leo hazinyeshi mara kesho mnakaribia kuvuna hizoooo..

Kuna vitu jamani lazima tukubali hatuna asili navyo kutokana na mazingira yetu.. Tumeingia ufugaji wa kisasa basi hao ng'ombe wenyewe wanafungwa kaa ng'ombe wa kiswahili (Zebu na Ankole).. Tumeshindwa ufugaji wake, utawakuja usiku wa manane barabarani au ktk viwanja wakitafuta chakula.. yaani nilishangaa sana kuwakuta kule Kunduchi uwanja wa jeshi wamezagaa na hawakimbii wala hawaogopi magari wala watu..
Ni mtazamo wangu tu sina utaalam nayo..
 
Nakumbuka lakini nadhani ilikuwa propaganda za kisiasa tu. Mwenzako naondoka na bulga hadi leo maanake nimekuzwa na Uji sii chai hivyo itakuwa kazi kubwa kuacha bulga langu.. Aaaaah Nyerere kweli alitukomaza.

Madawa ya kuhifadhi isiharibike wenyewe ndo wakaona ni dawa ya kuwafanya wasizae baadaye. Kwa vyo vyote ile ilikuwa bora kuliko hii oatmeal ambayo ina mchanganyiko wa mengi.
 
Nakumbuka lakini nadhani ilikuwa propaganda za kisiasa tu. Mwenzako naondoka na bulga hadi leo maanake nimekuzwa na Uji sii chai hivyo itakuwa kazi kubwa kuacha bulga langu.. Aaaaah Nyerere kweli alitukomaza.
Kiukweli ni uji mzuri sana kiafya, nami nakubaliana na wewe zinaweza kuwa ni sababu za kisiasa na inawezekana ikawa ni kweli, maana yale mafuta pia yalipatikana na kashfa hivi karibuni kule kwenye kambi za wakimbizi, sina uhakika kama ni Ngara ama lah.
Yale mafuta kama sikosei yalikuwa na chata hii!



 
Kiukweli ni uji mzuri sana kiafya, nami nakubaliana na wewe zinaweza kuwa ni sababu za kisiasa na inawezekana ikawa ni kweli, maana yale mafuta pia yalipatikana na kashfa hivi karibuni kule kwenye kambi za wakimbizi, sina uhakika kama ni Ngara ama lah.
Yale mafuta kama sikosei yalikuwa na chata hii!



Sana tu ila kusema kweli mimi sidhani kama bulga ilikuwa na madhara isipokuwa siasa..Kumbuka tu kwamba inapotokea dhiki kwa nchi maskini matajiri na pengine viongozi wao ndio huchukua nafasi kujitajirisha kwa misaada kama Mama Bush na Vyandarua vyake vya Malaria. Bush na miradi ya mafuta ya Iraq na kadhalika hivyo kupata tender ya ku supply nchi zilizokumbwa na ukame inaweza kudumu muda mfupi pindi utawala ukibadilika.

Tofauti ya hawa na sisi wanavuta fedha za Banki ya dunia kwa bei waliyoipanga nasi tunalazimika kuchukua kutokana na shida kupitia IMF misaada toka shirika au nchi moja. Na nchi zao zinavuta kodi toka shirika hilo, kwa hiyo matatizo ya nchi zetu ni neema kwa viongozi na nchi zao wakati sisi hubakia na madeni hata kama tunauziwa kwa bei mchekea hapo hapo viongozi wetu wanapiga misele maana nakumbuka nikiwa Kibara, Mwibara enzi hizo alikuwa mbunge au mtu fulani mkubwa serikalini alikutwa na ghala nzima ya mafuta akifanya ulanguzi Kenya..
 
Madawa ya kuhifadhi isiharibike wenyewe ndo wakaona ni dawa ya kuwafanya wasizae baadaye. Kwa vyo vyote ile ilikuwa bora kuliko hii oatmeal ambayo ina mchanganyiko wa mengi.
lakini mkuu, bora nusu shari kuliko shari kamili.
 
- Pole sana Mwalimu, kama kawaida yako ikishaguswa Awamu ya kwanza ni lazima uje na mapovu, nenda kule kwenye facebook yangu uone Balozi wetu mmoja aliyeko nje alivyo-comment kuhusu Sheikh Yahya na Awamu ya kwanza, kwamba walimfukuza kwa sababu angekwua kikwazo kwa siasa za the times! sio mimi mkuu wanajua zaidi ndio wamesema, ameishi maisha yake yote Kenya, mimi nimeshinda sana kwenye banda lake Uwanja wa Maonyesho ya Saba Saba enzi hizo, anatuonyesha Video za Super Mazembe na Mfuweni Lipua Lipua, alikuwa akitokea Kenya, infact he had a Porshe!

- Sasa magazeti ya Kenya yaliyokuwa yakiheshimiwa sana wakati ule yaliwezaje kuweka articles za mwizi na mtapeli, I mean mkuu zile mambo ya Awamu ya kwanza ya zidumu fikra za other imperfect human beings ziliisha sasa tuko huru kufikiri na kuchambua facts!


William @ NYC, USA
Much thank you.
 
Wacha uwongo, Kama kawaida yako unajaribu kuhusisha kuishi kwa Sheikh Yahya mjini Nairobi na awamu ya kwanza, pole sana kwani hujui kitu kuhusu historia ya huyo mchawi na tapeli. Sheikh Yahya alifungwa Kenya kwa vitendo vya uchawi, utapeli na kuhusika katika wizi akiwa Nairobi na alipoachiwa alipigwa marufuku asikanyage tena Kenya. Nchini Tanzania kuna watu kweli walitegema kuutumia unajimu wake na udanganyika wa Watanzania kupata madaraka lakini hawakufanikiwa, pole yao.

Uchawi ni kwa aliyeuamini, labda tu nikuulize jambo moja kwenye maisha yako hujawahi hata siku moja kufanya udanganyifu? Sheikh Yahya ni binadamu kama binadamu yeyote yule sote tuna mapungufu mbele ya mungu, hatuna haja ya kumhukumu mtu ambaye hajatufanyia kosa hata siku moja, yote yanayaoandikwa dhidi yake ndani ya thread hii ni hadithi za kusikia hakuna hata mmoja ambaye ametamka bayana kuwa Sheikh Yahya amemchawia au amemtapeli, ndugu zangu tuacheni unafiki inawezekana sisi tukawa wakosefu zaidi mbele ya mungu, mwacheni apumzike kwa amani tuwe na ubinadamu kidogo . "Inna lillah waina illah rajiun wabillah tawfiq"

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Nasikia ilisimamishwa, baada ya kugundulika kuwa kuna vitu viliwekwa kwenye ile ngano, ili watoto waje kuwa mataahira baadae. Na hata yele mafuta yalipatikana na kashfa ya kuwemo vitu vyenye kusababisha matatizo ya kizazi.

Ila ule uji ulikuwa mtamu, wacha bana.

- Iiliacha kuja baada ya Rais JFK kuuawa kwa kupigwa risasi kule Texas!

William @ NYC, USA.
 
sema huyu william@USA NYC kama sharubaro vile maana anaipenda marekani mwenyewe.mimi nitakaa bongo hapa na tutatengeneza pesa kama carlos slim.na atumuhukumu mnajimu yahya sema kutabiri ni dhambi mungu apendi.halafu utabiri wake ulikuwa uwongo kama kutishia watu wasichuke fomu za urais,2010 kwa kuwatishia mauti"utafikiri yeye ni mungu".

- Maisha hupatikana popote pale, sio lazima iwe bongo tu!

William @ NYC, USA.
 
SHEIKH YAHYA HUSSEIN NYUMA YA PAZIA LA UNAJIMU!

NI KWELI SHEIKH YAHYA ALIKUWA MNJAJIMU. TUNASIKITIKA KWA KFO CHAKE. WATANZANIA WENGI TULIMPENDA KWA JINSI ALIVYOMPTEZA HOJA ZAKE ZA KINAJIMU. TUMEMPOTEZA MNAJIMU NGULI. HATA HIVYO, NYUMA YA PAZIA, KIPINDI CHA AWAMU YA KWANZA SHEIKH YAHYA ALIKUWA SHUSHUSHU NA ALIKUWA AKIPEWA MAJUKUMU MAZITO YA KUTAFUTA TAARIFA ZA KIINTELLIJENSIA ZINAZOWAHUSU WATU WALIOKUWA WAKIMPINGA MWL. ALIWAWINDA, ALIWAANDAMA, ALIWATEGA NA ALIWAPATA WENGI SIO MCHEZO. AKITUMIA KIVULI CHA UNAJIMU ALIWAPATA WENGI. SOMETIMES ALIKUWA "agent in situ" KATIKA ASASI na MATUKIO MBALIMBALI. SHEIKH YAHYA ALIFANYA KAZI YA USHUSHU KWA COVER YA UNAJIMU. WATU WENGI AFRIKA MASHARIKI NA KATI WANAMFAHAMU KAMA MNAJIMU MAARUFU. KUNA JAMAA ZANGU, AKINA MKINDI, KOMBE, N.K. HAWA WALIKUWA WENZAKE WAKIWA WAMESAMBAZWA NCHI MBALIMBALI WAKIWA NA MTANDAO WENYE NGUVU CHINI YA MWAVULI WA WASHAURI WA WAPIGANIA UHURU, NAM, BALOZI N.K. NDUGU YANGU LUDOVICK MWIJAGE ANAMFAHAMU VEMA SHEIKH YAHYA. KUKAMATWA KWA NDG. LUDOVICK NCHINI BOTSWANA NI KWA SABABU YA MKONO WA SHEIKH YAHYA. EBU NIWAPE KIDOKEZO; SHEIKH YAHYA AKITUMIA USHUSHU ALIWEZA KUMPORA DOCS NDG LUDOVICK HOTELINI, BAADA YA HAPO LUDOVICK KILA MAHALI BOTSWANA ALIJIKUTA AKIWA ANASAKAMWA NA MASHUSHU, KUANZIA WALIOJIFANYA MARAFIKI ZAKE, WAHISANI WAKE NA HATA WASHIKAJI ZAKE. MWISHO WA SIKU HAWA MASHUSHUSHU WALIWEZA KUMLISHA MADAWA NA KUMKAMATA NA HATIMAE KUMREJESHA TANZANIA! HAWA WAKUSEMA SEMENI!


- Well, ana nafasi yake muhimu sana katika historia ya taifa letu.

William @ NYC, USA.
 
- Well, ana nafasi yake muhimu sana katika historia ya taifa letu.

William @ NYC, USA.

Misingi ya ndumba katika jamii hufarakanisha na kutisha watu wasiishi kwa utulivu na amani na hufisha moyo wa kujiamini na kufanya mengi kwa ajili ya future why? Magic stuff.
 
Sitakaa nimsifu mchawi. Yahya hatokumbukwa kwa mazuri si Tz Si ulimwenguni. Wale wote wanaoutafuta nyadhifa au urais ama kwa kuua ngamia au wale wa kulindwa na mashetani ya Yahya sitegemei kuwakuta mbinguni! Unajimu na utabiri na uchawi ni vitu vitatu tofauti kabisa. Uchawi wa nyota na matukio ya kufa watu kama mchawi marehemu Yahya Hussein alivokuwa ni ushetani. Sikatai kuwa kuna watu watampenda na kumkosa mchawi uyu kwa kuwa muda wake umeisha hapa duniani,ila siwaungi mkono kwa kuwa kila mtu ana mtazamo wake. Nakumbuka mwaka 2004 Yahya alitabiri taifa kumpata rais mwanamke,hapa alicheza pata potea akitegemea mama wa umoja wa mataifa kurudi Tz kuchukua fomu iliposhindikana wakati wa kampeni2005 akadai watampata waziri mkuu mwanamke,pia mama akuweza kurudi kupata ubunge,wala uwaziri,mama uyo hatimaye karud2010 na kuambulia uwaziri tu. Uyu mchawi mkuu Yahya alipoulizwa akasema eti yeye alimaanisha kuwa atatokea rais mzuri mwenye sura na mvuto wa kike! Hapa niliona kama tusi kwa mh.rais jakaya,isiwe tabu,yahya si mfano wa kuigwa. Watu wanasema eti yahya alikuwa amesomea,kwani uchawi hausomewi huko afrika ya kati na ya magharibi? Hapana,simwombei mtu kufa ila ntasema kama alivosema rais jk kwa kifo cha osama,yahya kafa,mioyo ya watu itatulia. Nijuavyo mimi hata ktk agano la kale Mungu aliwakataza watu kuwapindua ktk uongozi wateule wake,lakini ilipotokea Mungu aliwanyima upeo wa kutawala au hata kuwaamuru watubu kwa kumpindua mteule wake! Lakini mchawi Yahya akasema,atakayechukua fomu kumpinga Jk atakufa! Akasema kati ya wagombea urais atakufa,wote ni wacha Mungu,hamna aliyekufa! Kwa kuwa hakutoa timeframe ya tukio ilo,tumesubiri weee mpaka sasa ile sala aliyowaombea wenzie wafe imejibiwa ila sasa anwani haikuwa ya mgombea,majibu yametumwa moja kwa moja kwenye address ya mwombaji. Unajimu wa kisayansi ambao wengi tumeupitia ni ule wa kubashiri matukio yaliyokwisha kujitokeza na kujirudia/seasonal forecasting,japo pia kuna seasonal variations. Ila si uchawi wa nani atakufa nani ataishi milele. Yahya alikuwa mwakilishi wa watu wasio na Mungu,pia siwezi kumuita sheikh kwa kuwa najua fika maana ya kuitwa Sheikh! Japo ninajua anuani ya nilipo,ila sitasema maana ni aina ya ulimbukeni,sori kwa yeyote atakaedhania namsema maana huo ndo ukweli. Mwisho namshukuru mleta mada mr.William wa New York.USA kwa kuleta mada tuijadili. Siku njema.
 
Misingi ya ndumba katika jamii hufarakanisha na kutisha watu wasiishi kwa utulivu na amani na hufisha moyo wa kujiamini na kufanya mengi kwa ajili ya future why? Magic stuff.

- Lakini what is ndumab to you si inaweza kuwa dawa kwa mwingine na ndio Demokrasia au?

William @ NYC, USA.
 
Sitakaa nimsifu mchawi. Yahya hatokumbukwa kwa mazuri si Tz Si ulimwenguni. Wale wote wanaoutafuta nyadhifa au urais ama kwa kuua ngamia au wale wa kulindwa na mashetani ya Yahya sitegemei kuwakuta mbinguni! Unajimu na utabiri na uchawi ni vitu vitatu tofauti kabisa. Uchawi wa nyota na matukio ya kufa watu kama mchawi marehemu Yahya Hussein alivokuwa ni ushetani. Sikatai kuwa kuna watu watampenda na kumkosa mchawi uyu kwa kuwa muda wake umeisha hapa duniani,ila siwaungi mkono kwa kuwa kila mtu ana mtazamo wake. Nakumbuka mwaka 2004 Yahya alitabiri taifa kumpata rais mwanamke,hapa alicheza pata potea akitegemea mama wa umoja wa mataifa kurudi Tz kuchukua fomu iliposhindikana wakati wa kampeni2005 akadai watampata waziri mkuu mwanamke,pia mama akuweza kurudi kupata ubunge,wala uwaziri,mama uyo hatimaye karud2010 na kuambulia uwaziri tu. Uyu mchawi mkuu Yahya alipoulizwa akasema eti yeye alimaanisha kuwa atatokea rais mzuri mwenye sura na mvuto wa kike! Hapa niliona kama tusi kwa mh.rais jakaya,isiwe tabu,yahya si mfano wa kuigwa. Watu wanasema eti yahya alikuwa amesomea,kwani uchawi hausomewi huko afrika ya kati na ya magharibi? Hapana,simwombei mtu kufa ila ntasema kama alivosema rais jk kwa kifo cha osama,yahya kafa,mioyo ya watu itatulia. Nijuavyo mimi hata ktk agano la kale Mungu aliwakataza watu kuwapindua ktk uongozi wateule wake,lakini ilipotokea Mungu aliwanyima upeo wa kutawala au hata kuwaamuru watubu kwa kumpindua mteule wake! Lakini mchawi Yahya akasema,atakayechukua fomu kumpinga Jk atakufa! Akasema kati ya wagombea urais atakufa,wote ni wacha Mungu,hamna aliyekufa! Kwa kuwa hakutoa timeframe ya tukio ilo,tumesubiri weee mpaka sasa ile sala aliyowaombea wenzie wafe imejibiwa ila sasa anwani haikuwa ya mgombea,majibu yametumwa moja kwa moja kwenye address ya mwombaji. Unajimu wa kisayansi ambao wengi tumeupitia ni ule wa kubashiri matukio yaliyokwisha kujitokeza na kujirudia/seasonal forecasting,japo pia kuna seasonal variations. Ila si uchawi wa nani atakufa nani ataishi milele. Yahya alikuwa mwakilishi wa watu wasio na Mungu,pia siwezi kumuita sheikh kwa kuwa najua fika maana ya kuitwa Sheikh! Japo ninajua anuani ya nilipo,ila sitasema maana ni aina ya ulimbukeni,sori kwa yeyote atakaedhania namsema maana huo ndo ukweli. Mwisho namshukuru mleta mada mr.William wa New York.USA kwa kuleta mada tuijadili. Siku njema.

- Well, ya uchawi hayo ni yako Babu wa Loliondo kwa wengine ni mchawi na kwa wengine ni mchumgaji anayeongozwa na Mungu, hapa kila mtu ana dini yake sasa huwezi kujaribu kuhalalaisha yako over za wengine ni dalili za kutokomaa kijamiii, sasa huo unaousema ni utabiri wa kisayansi na mwingine ni uchawi tu kama ue unaouita wa Sheikh, and then unakuja kujisema mwenye who you are na maneno ya anwani utasemaje ya anwani na jina lako la bandia, mimi ninaweka jina langu kamili na mahali nilipoa anza na jina na picha yako hapa jina kamili and then ndio uongelee ya anwani, ulimbukeni ni kulilia kuwa sawa wengine ambao hawakuhusu! na wala huwawezi!

- Kama ni dini mkuu hapa kila mtu ana yake, cha muhimu wewe ni kjaribu ku-relate na mada kwamba Sheikh ana nafasi kwenye historia ya taifa letu au hapana, sasa unasema maneno mengi ambayo ni clear kwamba unakubali kwamba Sheikh alikuwa influencial kwa jamii, sasa onyesha nafasi yake kwenye historia, sio kumhukumu kuhusu dini yake, that is not the idea here mkuu! Kama huna uhakika na kinachosemwa uliza sio ujinga, kuliko kujifanya unajua na huku maneno yako yanakusuta kwamba hujui!

William @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom