William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Wakuu wote JF, heshima mbele sana:-
- Kifo cha Sheikh Yahaya jana, kimetushitua wananchi wengi sana hasa wale tuliomzoea toka enzi za Utawala wa Awamu Ya Kwanza, I mean you wanted to ignore the guy lakini he was all over the map coming from Kenya, enzi hizo kwenye mabazeti ya Taifa na Baraza, ambayo kuwa nayo Tanzania ilikuwa ni very luxurious.
- Ninakumbuka ukiyaona hayo magazeti, hasa kwa kuomba kwa waliokuwa nayo, the first thing you wanted ilikuwa ni kukimbilia kwenye ukurasa wa Nyota na Utabiri wa Sheikh Yahaya, as opposed na miaka ya karibuni na hadi kuelekea kutangulia kwake kwenye haki.
- Ni muhimu wana-hisstoria wa taifa hili wakampa nafasi Marehemu, of his role either positive au negative katika maisha ya wananchi hasa enzi za Cold War: Je Historia imuhukumu vipi ndugu zangu?
William @ NYC, USA.
- Kifo cha Sheikh Yahaya jana, kimetushitua wananchi wengi sana hasa wale tuliomzoea toka enzi za Utawala wa Awamu Ya Kwanza, I mean you wanted to ignore the guy lakini he was all over the map coming from Kenya, enzi hizo kwenye mabazeti ya Taifa na Baraza, ambayo kuwa nayo Tanzania ilikuwa ni very luxurious.
- Ninakumbuka ukiyaona hayo magazeti, hasa kwa kuomba kwa waliokuwa nayo, the first thing you wanted ilikuwa ni kukimbilia kwenye ukurasa wa Nyota na Utabiri wa Sheikh Yahaya, as opposed na miaka ya karibuni na hadi kuelekea kutangulia kwake kwenye haki.
- Ni muhimu wana-hisstoria wa taifa hili wakampa nafasi Marehemu, of his role either positive au negative katika maisha ya wananchi hasa enzi za Cold War: Je Historia imuhukumu vipi ndugu zangu?
William @ NYC, USA.