wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
[h=6]tanganyika nchi yangu nzuri wamekugeuza shamba la bibi nilikuwa chunya wiki jana wageni wanajibebea dhahabu kama zao bila usimamizi wowote.....wachina waliokuwa wanatengeneza barabara wameondoka na zana zao kwenda malawi baada ya serikali kushindwa kuwalipa aibu!!!!![/h]mwaka jana waliongopa kutengeneza barabara mwaka huu kila kona wakandarasi wanaondoka na vifaa vyao kwa kushindwa kulipwa na serikali yetu ya kisanii
tembeleeni chunya na nyinyi muone vioja vya serikali yenu ya kisanii
tembeleeni chunya na nyinyi muone vioja vya serikali yenu ya kisanii