YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Watu wamekuwa wakipiga kelele kila kona kuwa Tanzania inahitaji katiba mpya.Ziko nchi duniani hazina katiba kabisa.Mojawapo ni Uingereza.Haijawahi kuwa na katiba na haina katiba kabisa.Wanaishi kwa uttawala wa sheria tu.Kila mtu anakuwa mtii kwa sheria zilizopo basi.
Tanzania tuna sheria za kila kitu.
Ukiongelea bunge kuna sheria zake.Ukiongelea haki za binadamu kuna sheria za haki za binadamu zipo.UKiongelea uhuru wa habari ziko sheria za habari.Ukiongelea sheria za ajira zipo.Ukiongelea uchaguzi.Ziko sheria za uchaguzi.
Ukiongelea maadili wala huhitaji kuweka mambo ya maadili ya viongozi kwenye katiba kuna sheria ipo na kamishina wa maadili yupo.
Sasa kama zipo sheria zote hilo likatiba la kitu gani? Kinachotakiwa ni sheria zilizopo kusimamiwa basi hakuna haja ya kupoteza pesa kuhangaikia hilo dude linaloitwa katiba.Tuige nchi zisizokuwa na katiba
Tanzania inahitaji utawala wa sheria sio utawala wa katiba.
Tanzania tuna sheria za kila kitu.
Ukiongelea bunge kuna sheria zake.Ukiongelea haki za binadamu kuna sheria za haki za binadamu zipo.UKiongelea uhuru wa habari ziko sheria za habari.Ukiongelea sheria za ajira zipo.Ukiongelea uchaguzi.Ziko sheria za uchaguzi.
Ukiongelea maadili wala huhitaji kuweka mambo ya maadili ya viongozi kwenye katiba kuna sheria ipo na kamishina wa maadili yupo.
Sasa kama zipo sheria zote hilo likatiba la kitu gani? Kinachotakiwa ni sheria zilizopo kusimamiwa basi hakuna haja ya kupoteza pesa kuhangaikia hilo dude linaloitwa katiba.Tuige nchi zisizokuwa na katiba
Tanzania inahitaji utawala wa sheria sio utawala wa katiba.