Tanzania has highest press freedom in East Africa- Membe

Inawezekana ni kweli kwamba vyombo vyetu vya habari vima uhuru mkubwa kuliko nchi yoyote ile katika Afrika ya Mashariki. Je, uhuru huo umeleta mabadiliko gani katika kulinda maslahi ya nchi? Kwa maoni yangu haujaleta mabadiliko yoyote yale maana nchi inazidi kufisadiwa na mapapa wa ufosadi na Wawekezaji katika nyanja mbali mbali ikiwemo madini ambapo tunaambulia 3% tu ya mapato yote yatokanayo na dhahabu yetu.
 
Inawezekana ni kweli kwamba vyombo vyetu vya habari vima uhuru mkubwa kuliko nchi yoyote ile katika Afrika ya Mashariki. Je, uhuru huo umeleta mabadiliko gani katika kulinda maslahi ya nchi? Kwa maoni yangu haujaleta mabadiliko yoyote yale maana nchi inazidi kufisadiwa na mapapa wa ufosadi na Wawekezaji katika nyanja mbali mbali ikiwemo madini ambapo tunaambulia 3% tu ya mapato yote yatokanayo na dhahabu yetu.

To add to your point, uhuru wa vyombo vy habari hauwezi kuwa kitu cha kujivunia kama habari hazina quality.

Tunachoona kinatokea Tanzania, na hii inawezekana ikawa sababu serikali inaachia "uhuru" huu uendelee, ni kwamba tunaona a lot of hogwash coverage, with no critical news and analysis.

Kwa hiyo serikali inajitamba kwa kuwa na press huru inayoandika mashuzi left right and centre.

The perfect tool of the Machiavellian tyrant employing Caesarian benevolence.

On the one hand he is promoting his altruistic image by purpoting to allow a free press, on the other hand making sure the coverage is mediocre at best.

How can any thinking person be proud of that?
 
Its true we have the greatest level of press freedom; evidence: nenda kwenye magereza yetu uone jinsi wafungwa walivyohuru kutoa maoni yao!
 
Tunahitaji uhuru zaidi ya huu uliopo sasa hasa unaotambulika kikatiba na kisheria siyo huruma ya mtawala

BTWN kwani EAC ni yardstick ya kupima uhuru wa media? kwanini tusiwe na uhuru kama UK au US kwanini EAC?

Bado we need more and more freedom., mtatupa hata kama hamtaki!
 
Hivi ukiwa umezungukwa na Idi Amin, Bokasa na Mobutu na wewe ukawa ni Mugabe utajisifia kuwa nchi yako ina highest form of un-dictatorial tendencies in Southern Africa?
 
Hivi ukiwa umezungukwa na Idi Amin, Bokasa na Mobutu na wewe ukawa ni Mugabe utajisifia kuwa nchi yako ina highest form of un-dictatorial tendencies in Southern Africa?

you can.. if you are truly convinced that yours (whatever that is) is better than the others! Ni sawa sawa na mtu aliyeruka shimo lenye upana wa mita 10 lakini aliruka hadi mita 9 akatumbukia na mwingine akaruka mita moja tu akatumbukia. Yule wa mita moja anaweza kusema aliruka kidogo zaidi kuliko yule wa mita 9.. na atakuwa amesema kweli... lakini yule wa mita tisa anaweza kujitapa kuwa yeye alikaribia zaidi kuvuka kuliko huyo wa mita moja na kimsingi hata alichelewa kutumbukia zaidi kuliko yule wa kwanza; naye atakuwa amesema kweli.
 
you can.. if you are truly convinced that yours (whatever that is) is better than the others! Ni sawa sawa na mtu aliyeruka shimo lenye upana wa mita 10 lakini aliruka hadi mita 9 akatumbukia na mwingine akaruka mita moja tu akatumbukia. Yule wa mita moja anaweza kusema aliruka kidogo zaidi kuliko yule wa mita 9.. na atakuwa amesema kweli... lakini yule wa mita tisa anaweza kujitapa kuwa yeye alikaribia zaidi kuvuka kuliko huyo wa mita moja na kimsingi hata alichelewa kutumbukia zaidi kuliko yule wa kwanza; naye atakuwa amesema kweli.

And the moral of the story is utakuwa ume neglect ku mention kwamba wote mmetumbukia.
 
kwanza mmemuita pimbi,
halafu mkamuita mende,

badala ya kujibu hoja mnamtukana,
so much for great thinkers...

mimi nafikiri hoja ipo wazi kuwa
pamoja na matatizo ya kulifungia gazeti la kulikoni
na kumwagiwa tindikali kwa Kubenea..
Tanzania bado ndio nchi iliyo juu zaidi
kwa uhuru wa habari around east and central africa.
kama kuna mtu anabisha,amwage hoja na sio matusi.

- Saafi sana, yaani hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi thanks Great Thinker!

Respect.


FMEs!
 
- Uhuru wa kutoa maoni bila responsibility ni bure ya ghali, uhuru tunao lakini tumeshindwa kuutumia sasa tunalaumu kila mtu badala ya kujiangalia sisi wananchi kwanza kwamba we are part of the problem too, sitasahau ziku Zitto alipokwenda Jangwani kuhamasisha, sasa ile siku ilitakwia wananchi wote tujiunge naye kundamana against kero za serikali na watawala wetu,

- Membe is right on this one, tatizo ni letu wananchi tukiongozwa na waandishi wetu na media nzima ya bongo ambayo imeoza! Kuanzia wananchi mpaka our media priority zetu ziko backwards!

Respect.


FMEs!
 
-
tatizo ni letu wananchi tukiongozwa na waandishi wetu na media nzima ya bongo ambayo imeoza! Kuanzia wananchi mpaka our media priority zetu ziko backwards!

Respect.

FMEs!

Na sitoshangaa aakigombea Urais 2015 waandishi wetu watampamba sanaaa
 
Back
Top Bottom