Amani maana yake ni nini?
Amani maana yake ni kuwapumbaza watanzania ili mafisadi waibe pesa, wapore maliasili na kuficha nje ya nchi?
Amani ni watanzania kufa kwa kukosa huduma za afya??
Amani ni watanzania kukosa elimu?
Amani maana yake ni wananchi kufa na njaa?
Amani maana yake ni waalimu kutishwa?
Amani maana yake ni Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa?
Amani ni mauaji ya kisiasa? Mifano ipo tajeni RIP Nyerere, RIP Kolimba, RIP Amina CHifupa, RIP chacha wangwe ... a list goes on
Amani ni migomoooo
Amani ni kuficha kuficha hela za Watanzania huko South Africa, Dubai, Swiss
Hayo yote hapo juu ni matendo mabaya kuliko vita. Maana watanzania wanateseka, vijana wanateseka, wanahangaika, dada zetu wa vyuo vikuu wanateseka na njaa, dada zetu wanajiuza ili wasife njaa, je kama wanakwepa njaa na Je ukimwi?
CHonde chonde watanzania???
Tuungane tudai hela zetu uswisi, tusiwaachie CDMA na ZItTo peke yao.
Tunataka huduma bora za afya, elimu bora, mikopo ya elimu kwa watoto wa masikini hasa wakulima vijijini
Maandamano na migomo
Tuanze na wafanyakazi wote pamoja na waalimu na madokta
TUCTA mpoooo, PESA Ipooooo - FEDHA zipo Uswisi
Madokta mpoo, pesa ipoooo
Walimu mpooo, fedha ipooo
Wakulima tupooo
Je tuungane vipi?
Wito wa maandamanoooo, migomoooo
Amani maana yake ni kuwapumbaza watanzania ili mafisadi waibe pesa, wapore maliasili na kuficha nje ya nchi?
Amani ni watanzania kufa kwa kukosa huduma za afya??
Amani ni watanzania kukosa elimu?
Amani maana yake ni wananchi kufa na njaa?
Amani maana yake ni waalimu kutishwa?
Amani maana yake ni Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa?
Amani ni mauaji ya kisiasa? Mifano ipo tajeni RIP Nyerere, RIP Kolimba, RIP Amina CHifupa, RIP chacha wangwe ... a list goes on
Amani ni migomoooo
Amani ni kuficha kuficha hela za Watanzania huko South Africa, Dubai, Swiss
Hayo yote hapo juu ni matendo mabaya kuliko vita. Maana watanzania wanateseka, vijana wanateseka, wanahangaika, dada zetu wa vyuo vikuu wanateseka na njaa, dada zetu wanajiuza ili wasife njaa, je kama wanakwepa njaa na Je ukimwi?
CHonde chonde watanzania???
Tuungane tudai hela zetu uswisi, tusiwaachie CDMA na ZItTo peke yao.
Tunataka huduma bora za afya, elimu bora, mikopo ya elimu kwa watoto wa masikini hasa wakulima vijijini
Maandamano na migomo
Tuanze na wafanyakazi wote pamoja na waalimu na madokta
TUCTA mpoooo, PESA Ipooooo - FEDHA zipo Uswisi
Madokta mpoo, pesa ipoooo
Walimu mpooo, fedha ipooo
Wakulima tupooo
Je tuungane vipi?
Wito wa maandamanoooo, migomoooo