Hebu tujadiliane inakuwaje tanzania nchi yenye rasilimali nyingi za kipekee lakini bado ni masikini na wananchi wake wanaishi maisha duni?
'hata mimi sijui kwanini tanzania ni maskini'
'hata mimi sijui kwanini tanzania ni maskini'
masikini ukilinganisha na nani?
Kwasababu watu wake karibia wote hawana akili wala maarifa.
masikini ukilinganisha na nani?
CHADEMA ndo tatizo kuwajaza watu kama wewe ujinga huo