nitarudi nikipata jibu kutoka kwa rais wa nec bwana fisadi, dr. Dr. Dr. Mwanajeshi mstaafu, king wa wa k_were, alhaji kikwete
Tanzania is the third largest producer in Africa.
Ikiwa Rais wako anaeiongoza Tanzania hajui, sisi waongozwaji tutajuaje???
Hebu tujadiliane inakuwaje tanzania nchi yenye rasilimali nyingi za kipekee lakini bado ni masikini na wananchi wake wanaishi maisha duni?