TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,878
- 11,259
And that was my point... He is turningUshoga Uingereza unaruhusiwa -na kisheria watu wa jinsia moja wanaruhusiwa kuoana. Mfano ni Sir Elton John.
Lakini bado mimi sijaelewa haya makelele yanatoka wapi? David Cameron katoa masharti kwa Matonya kwamba ukipeleka kibakuli basi sharti ukubali 'kuhalalisha' ushoga. Hutaki peleka bakuli lako kwingine. Very simple. After all hela anayowapa inatokana na kodi za watu wa huko wengine wakiwa mashoga.
Mnaacha wajanja wanawaibia madini, voda wanakwepa kodi lakini mnamsumbuwa Cameron kila siku mnaomba chakula. Sasa kawapa masharti- no such thing as free lunch!
the tables and use ushoga thain reason kuhusu kinyamazia ufisadi ni kwamba pesa za kifisadi zinawanufaisha wao na wanahusika kuiba e.g. Voda, barrick, radar, kilimo keanza etc
kaona ushoga was an easy way out