Si wajinga wala wabinafsi lakini kwa kuwa tunajua hakuna na ni dhahiri hakuna ufadhili wowote kutoka nje kwenda kwa CDM zaidi ya propaganda za ccm. Lengo ni kutufanya watanzania tuichukie CDM wakati tunajua aliyoongea Nape ni propaganda za kutuziba macho watanzania ili fedha zilizowekwa nje na mafisadi wa ccm zifichwe kilaini.Swali moja tu hivi mnaotetea huo ufadhili wa nje ni wajinga au mna maslahi binafsi?
Kwahiyo ni kwamba sisi ni werevu kuliko propaganda za ccm na Nape wake. Hakuna ushahidi wowote alionao Nape, wala hakuna uchunguzi wowote utakaofanywa na Mizengo pinda na serikali yao kwa kuwa wanajua hata wakichunguza wataumbuka wenyewe. Hizo zote ni propaganda zilizopangwa kuanza na Nape, mbunge kuuliza swali kisha waziri mkuu kujibu kufanya uchunguzi. Lakini hatudanganyiki ng'o. Bila shaka Ecoli sasa unajua uko kwenye kundi gani wajinga ua werevu? Kama mpenzi wa magamba sikushangai lakini ujue watanzania wa sasa ni zaidi ya fikra hizi fupi za ccm.