Tanzania government condemns Israel

sijasikia serikali yetu ikilaani Korea ya Kaskazini.. baada ya kulipua nyambizi ya Korea ya Kusini.. ama..
 
Hiyo shutuma ya Tanzania dhidi ya Israel mimi wasiniweke kabisa ni bora wangekaa kimya; kwani nani angetulaumu kwa kukaa kimya? Tunapiga makelele kama vile tunataraji kitu kwa kujiingiza kwenye malumbano ya hao Waturuki Vs Israel. Mbona Kenya, Uganda, Rwanda, na Burundii wamekaa zao kimya na wako poa tu?
 
Huu udini utatupeleka pabaya sana. Kama kitendo cha wazi cha kiharamia kama hiki kinajaribiwa kuwa 'justified' sijui kuna kitu gani ambacho Israel inaweza kukifanya kiwe makosa!
Sipendi kurudia point kadhaa hapo juu lakini napenda kukumbusha kwamba lengo la meli hizi lilielezewa tagu mwanzo kuwa ni kupeleka chakula, madawa na vifaa vya ujenzi ambavyo vimezuiliwa. Labda tuzungumzie uhalali wa Israel kuzingira Gazza. Israel ilianza kuizingira Gaza pale Wapalestina, kwa uhuru wao wa kidemokrasia, na kwa uchaguzi huru, walipokichagua chama cha Hamas. Hamas inasisitiza kuwa haikubali maafikiano yeyote na Israel chini ya kurudisha ardhi waliyoiteka mwaka 1967 (Na hivyo ndivyo yanavyosema maazimio 13 ya Umoja wa Mataifa). Kwa hiyo, hata Israel kuweka siege Gaza ni haramu kwa International law. haya, makosa ya hawa International humanitarians yanatokea wapi?
Imagine, wakai baada ya vita vya pili Soviet ilipoweka siege juu ya Berlin, unataka kusema Marekani ilikuwa inafanya makosa kupeleka chakula huko kwa njia ya anga? Na kwamba Soviet ingeangusha ndege hizo wangekuwa na haki kwa vile wamesema wameweka 'siege'? Jamani, hivi haki siku hizi imekuwa haijulikani hata kwa wale wanaojitia 'wasomi'?
 
tuballaya.. ulitaka hizo meli zivunje naval blockade iliyowekwa na sovereign state kulinda usalama wake ili kiwe nini? ulitaka Israel wapishe tu kwa sababu ni "humanitarian aid"..hivi kweli unafikiri hakukuwa nanjia nyingine yoyote ya kupitisha misaada? Kwanini hawakulazimisha kupitisha misaada kwenye mpaka wa Misri na Gaza kwa kupiitisha magari kwa nguvu na tuone kama Misri wangeacha tu wapite kwa sababu hiyo hiyo.
 
tuballaya.. ulitaka hizo meli zivunje naval blockade iliyowekwa na sovereign state kulinda usalama wake ili kiwe nini? ulitaka Israel wapishe tu kwa sababu ni "humanitarian aid"..hivi kweli unafikiri hakukuwa nanjia nyingine yoyote ya kupitisha misaada? Kwanini hawakulazimisha kupitisha misaada kwenye mpaka wa Misri na Gaza kwa kupiitisha magari kwa nguvu na tuone kama Misri wangeacha tu wapite kwa sababu hiyo hiyo.

teh teh teh
cha kushangaza zaidi ni kuwa hata misiri wana blokade ya kuzuia gaza, lakini blokade lao mbona halionekani kuwa ni kosa, kosa ni upande wa israel tu. Duuuuuuuuuuu ebwana weeee
 
Ubungoubungo,
Umeuliza ni sheria gani ya kimataifa iliyovunjwa na Israel.
Soma hii article.


All At Sea

By Yvonne Ridley

June 01, 2010 "
Information Clearing House" -- I wonder how many of you remember the hijacking of the Italian cruise ship the Achille Lauro way back in October 1985?

Four members of the Palestine Liberation Front took control of the liner off Egypt as she was sailing from Alexandria to Port Said.

It was a bungled operation in which the hijackers killed disabled Jewish-American passenger Leon Klinghoffer and then threw his body overboard.

The incident created headlines around the world and polarized people over the Palestinian cause.

It also prompted the law makers to create new legislation making it an international crime for anyone to take a ship by force.

And this is the reason for the brief history lesson - under article 3 of the Rome Convention for the Suppression of Unlawful Acts against the Safety of Maritime Navigation of 1988, it is an international crime for any person to seize or exercise control over a ship by force, and also a crime to injure or kill any person in the process.

The treaty necessarily adopts a strict approach. One cannot attack a ship and then claim self-defence if the people on board resist the unlawful use of violence.

In other words, according to international law, the actions of the Israeli military were beyond the law and those involved should be treated no differently than, say, the Somali pirates who are also in the habit of boarding ships by force.

Any rights to self defence in such dramatic circumstances rests purely with the passengers and crew on board. Under international maritime law you are legally entitled to resist unlawful capture, abduction and detention.

What those on board the Freedom Flotilla did was perfectly legal. I believe they acted with great courage in the face of heavily armed IDF commandos, while others might have thought their actions reckless.

Whatever your view, a number paid the ultimate price for their international right to resist.

Israel now stands virtually alone having exposed itself as a pariah state.

I wrote an article last year calling them the Pirates of the Mediterranean after they had illegally boarded other aid ships, kidnapping crew and passengers.

Now I want you to ask yourself this question … if a group of Somali pirates had forced their way onto half a dozen humanitarian aid ships from the West, slaughtering around nine or 10 people and injuring scores more what do you think the international reaction would have been?

Let me tell you. A NATO task force would by now be steaming towards the Horn of Africa accompanied by a couple of drones and various members of the press to record the occasion. (On a point of interest the Achille Lauro sank in the Indian Ocean off the coast of Somalia in 1994.)

So why is Israel allowed to get away with murder? In a pre-meditated act the Zionist State showed once again its total disregard for human life – and international law.

There were pensioners, women and children on board those ships which were carrying bags of cement, electric wheelchairs, toys, medicines and water purifiers for Gaza's people.

Realizing Israel had shot itself in the foot, the vile state's leader Binyamin Netanyahu then started shooting from the lip.

He asked us to believe that his troops were acting in self-defence. And then, 24 hours later, given time to come up with more lies he told the world that the soldiers were armed with paintballs and had not expected to use their weapons. Not content with insulting our intelligence he said his nice, cuddly IDF folk had only boarded the boats to carry out an inspection and inventory.

Then backing him up was Mark Regev, the Zionist State's political Pinocchio. He reckons these evil-doers on board the boats grabbed the IDF's real guns and used them to fire on the soldiers.

These are the same soldiers that come from an elite, highly trained, crack squad … hmm Mr Regev, if that's the case why would you send in the A-Team if they were just going to do an inventory?

And if they were such a hot squad how did a bunch of civilians manage to overpower them and give them a good slap?

Either Israeli soldiers fight like a bunch of old women – which Hizb'Allah says they do – or they intended to massacre those on board to make sure that no other peace activists get involved in trying to help the Palestinian people of Gaza.

Well if that was the aim then it has failed. As I write this some heroic friends of mine from the Free Gaza Movement are bound for Gaza now onboard the appropriately named ship Rachel Corrie.
In our thousands in our millions … today we are all Palestinians.

Journalist Yvonne Ridley is the European President of the International Muslim Womens Union, and a committed peace activist who was on the first boat to break the siege of Gaza in 2008.
 
Na hii...

[SIZE=+1]Barbarism on the High Seas [/SIZE]
[SIZE=+2]America's Complicity in Evil [/SIZE]

[SIZE=+1]By PAUL CRAIG ROBERTS [/SIZE]
As I write at 5pm on Monday, May 31, all day has passed since the early morning reports of the Israeli commando attack on the unarmed ships carrying humanitarian aid to Gaza, and there has been no response from President Obama except to say that he needed to learn "all the facts about this morning's tragic events" and that Israeli prime minister Netanyahu had canceled his plans to meet with him at the White House. Thus has Obama made America complicit once again in Israel's barbaric war crimes. Just as the US Congress voted to deep-six Judge Goldstone's report on Israel's war crimes committed in Israel's January 2009 invasion of Gaza, Obama has deep-sixed Israel's latest act of barbarism by pretending that he doesn't know what has happened.
No one in the world will believe that Israel attacked ships in international waters carrying Israeli citizens, a Nobel Laureate, elected politicians, and noted humanitarians bringing medicines and building materials to Palestinians in Gaza, who have been living in the rubble of their homes without repairs or medicines since January 2009, without first clearing the crime with its American protector. Without America's protection, Israel, a totally artificial state, could not exist. No one in the world will believe that America's spy apparatus did not detect the movement of the Israeli attack force toward the aid ships in international waters in an act of piracy, killing 20, wounding 50, and kidnapping the rest. Obama's pretense at ignorance confirms his complicity.
Once again the US government has permitted the Israeli state to murder good people known for their moral conscience. The Israeli state has declared that anyone with a moral conscience is an enemy of Israel, and every American president except Eisenhower and Carter has agreed.
Obama's 12-hour silence in the face of extreme barbarity is his signal to the controlled corporate media to remain on the sidelines until Israeli propaganda sets the story.
The Israeli story, preposterous as always, is that the humanitarians on one of the ships took two pistols from Israeli commandos, highly trained troops armed with automatic weapons, and fired on the attack force. The Israeli government claims that the commandos' response (70 casualties at last reporting) was justified self-defense. Israel was innocent. Israel did not do anything except drop commandos aboard from helicopters in order to intercept an arms shipment to Gazans being brought in by ships manned by terrorists.
Many Christian evangelicals, brainwashed by their pastors that it is God's will for Americans to protect Israel, will believe the Israeli story, especially when it is unlikely they will ever hear any other. Conservative Americans, especially on Memorial Day when they are celebrating feats of American arms, will admire Israel for its toughness. Here in north Georgia where I am at the moment, I have heard several say, admiringly, "Them, Israelis, they don't put up with nuthin."
Conservative Americans want the US to be like Israel. They do not understand why the US doesn't stop pissing around after nine years and just go ahead and defeat the Taliban in Afghanistan. They don't understand why the US didn't defeat whoever was opposing American forces in Iraq. Conservatives are incensed that America had to "win" the war by buying off the Iraqis and putting them on the US payroll. Israel murders people and then blames its victims. This appeals to American conservatives, who want the US to do the same.
It is likely that Americans will accept Israeli propagandist Mark Regev's story that Israelis were met by deadly fire when they tried to intercept an arms shipment to Palestinian terrorists from IHH, a radical Turkish Islamist organization hiding under the cover of humanitarian aid.
Americans will never hear from the US media that Turkey's prime minister Erdogan declared that the aid ships were carefully inspected before departure from Turkey and that there were no terrorists or arms aboard: "I want to say to the world, to the heads of state and the governments, that these boats that left from Turkey and other countries were checked in a strict way under the framework of the rules of international navigation and were only loaded with humanitarian aid."
Turkey is a US ally, a member of NATO. Turkey's cooperation is important to American's plan for world hegemony. Erdogan must wonder about the morality of Israel's American protector. According to a report in antiwar.com, the Turkish government declared that "future aid ships will be dispatched with a military escort so as to prevent future Israeli attacks." Will the CIA assassinate Erdogan or pay the Turkish military to overthrow him? Murat Mercan, head of Turkey's foreign relations committee, said that Israel's claim that there were terrorists aboard the aid ships was Israel's way of covering up its crime.
Mercan declared: "Any allegation that the members of this ship is attached to al-Qaeda is a big lie because there are Israeli civilians, Israeli authorities, Israeli parliamentarians on board the ship."
The criminal Israeli state does not deny its act of piracy. Israeli military spokeswoman, Avital Leibovich, confirmed that the attack took place in international waters: "This happened in waters outside of Israeli territory, but we have the right to defend ourselves." Americans, and their Western European puppet states and the puppet state in Canada, will be persuaded by the servile media to buy the story fabricated by Israeli propaganda that the humanitarian aid ships were manned by terrorists bringing weapons to the Palestinians in Gaza, and that the terrorists posing as humanitarians attacked the force of Israeli commandos with two pistols, clubs, and knives. Many Americans will swallow this story without a hiccup.
Paul Craig Roberts was an editor of the Wall Street Journal and an Assistant Secretary of the U.S. Treasury. His latest book, HOW THE ECONOMY WAS LOST, has just been published by CounterPunch/AK Press. He can be reached at: PaulCraigRoberts@yahoo.com
 
Hivi kulikuwa na haja ya ka nchi kama Tanzania kutoa hilo tamko?
Au Membe aliona thread ya mtu mmoja aliuliza humu kwa nini serikali haijatoa tamko au inasubiri msimamo wa Marekani ndio wakakurupuka?

Mkuu kwani si ametoa tamko kwenye daily news la Tanzania ambalo nakala zake hazifiki hata Tanzania Nzima sembuse Kenya
sasa unafikiri hilo tamko litasaidia nini wakati wewe ni masikini ukijitia kati watakunyima msaada wa bajeti yenu
 
Hivi kwa nini kuna baadhi na watu ukisema vibaya kabila au kijiji chake hata kama ni ukweli hawi mkali sana kama ukisema matataizo au mfanaikio ya israel/palestina.

Kitendo kweli walichfanya Israel inabidi kishutumiwe lakini wakati huo huo Tanzania inabidi iwe na sera za mambp ya nje za kueleweka. Ingekuwa vizuri tukawa na uhusiano wa kibalozi na Israel.

Nchi kama Misri,Uturuki Lebanon z zimeweka siasa pemben kwa kiasi fulani na zina uhusiano nao. labda tungepata wawekezaji halisi wa tanzanite kutoka kwao badala ya wawekezaji makapi wa south africa.
 
tuballaya.. ulitaka hizo meli zivunje naval blockade iliyowekwa na sovereign state kulinda usalama wake ili kiwe nini? ulitaka Israel wapishe tu kwa sababu ni "humanitarian aid"..hivi kweli unafikiri hakukuwa nanjia nyingine yoyote ya kupitisha misaada? Kwanini hawakulazimisha kupitisha misaada kwenye mpaka wa Misri na Gaza kwa kupiitisha magari kwa nguvu na tuone kama Misri wangeacha tu wapite kwa sababu hiyo hiyo.

mwanakijiji, elimisha hawa watu...only the israeli blockade is bad to them, ile blockade ya wamisri kwao si tatizo...what a shame!...wako biased kwa namna yoyote ile dhidi ya israel and they can't stop their hatred....international humanitarian works havitakiwi kuvunja utaratibu wa nchi huru...ukweli ni kwamba, watu wanaichukia israel hata kama nchi zingine zimeweka blockade..si uliona misri baada ya kuona israel wamefanya icho kitendo wameamua kufungua blockade kuingiza mizigo gaza, hata misri waarabu wenzao wanayo blockade lakini blockade ya israel ndo inaonekana kuwa kitu cha ajabu...

 
Last edited by a moderator:
Huu udini utatupeleka pabaya sana. Kama kitendo cha wazi cha kiharamia kama hiki kinajaribiwa kuwa 'justified' sijui kuna kitu gani ambacho Israel inaweza kukifanya kiwe makosa!
Sipendi kurudia point kadhaa hapo juu lakini napenda kukumbusha kwamba lengo la meli hizi lilielezewa tagu mwanzo kuwa ni kupeleka chakula, madawa na vifaa vya ujenzi ambavyo vimezuiliwa. Labda tuzungumzie uhalali wa Israel kuzingira Gazza. Israel ilianza kuizingira Gaza pale Wapalestina, kwa uhuru wao wa kidemokrasia, na kwa uchaguzi huru, walipokichagua chama cha Hamas. Hamas inasisitiza kuwa haikubali maafikiano yeyote na Israel chini ya kurudisha ardhi waliyoiteka mwaka 1967 (Na hivyo ndivyo yanavyosema maazimio 13 ya Umoja wa Mataifa). Kwa hiyo, hata Israel kuweka siege Gaza ni haramu kwa International law. haya, makosa ya hawa International humanitarians yanatokea wapi?
Imagine, wakai baada ya vita vya pili Soviet ilipoweka siege juu ya Berlin, unataka kusema Marekani ilikuwa inafanya makosa kupeleka chakula huko kwa njia ya anga? Na kwamba Soviet ingeangusha ndege hizo wangekuwa na haki kwa vile wamesema wameweka 'siege'? Jamani, hivi haki siku hizi imekuwa haijulikani hata kwa wale wanaojitia 'wasomi'?

tatizo unajifanya unajua kumbe huna ufahamu...ni ngumu kukuelewesha..
 
lets talk about humanitarian 'aid'... hivi hawa wenye hii misaada mbona hawailazimishi kupeleka Darfur au Somalia? au wenye shida hasa za kibinadamu ni wa Gaza tu?
 
lets talk about humanitarian 'aid'... hivi hawa wenye hii misaada mbona hawailazimishi kupeleka Darfur au Somalia? au wenye shida hasa za kibinadamu ni wa Gaza tu?

Huu mgogoro ni JIHAD kwa watu wa dini fulani. Kwa bahti mbaya kuna wengine wanachupia tu kwene hii sintofahamu bila kujua mzizi wake. Ukiangalia kwa undani we have much more serious deprivations in Africa ambako kuna ACTIVE WAR, kuliko huko Palestina. Kuna much innoecnt African, wengi zaidi kwa mamia wanaohitaji immediate relief kuliko hao wapalestina magaidi.
 
Nadhani Tz should keep low profile kwene issue nyingine. Sio kifront kwene kila issue.

and Tanzania has never complained anything about Darfur ambako rafiki yake kikwete..al bashir anasapoti janjaweed kuwaua watu weusi kila siku...darfur ni eneo baya kuliko yote duniani kwasasa, lakini hata siku moja haujasikia tz ikilaani kitu icho..zaidi ya yote wanazidi kumtunza al bashir anayetakiwa the hague....kama sio unafiki ni nini hii?
 
Kama aliosema hapo juu, tuwe waangalifu na michango driven by religious beliefs (look beyond your religious beliefs!!!). Kwa hili nawaunga mkono serikali
 
Miafrika bana! lol utumwa wa akili hautakwisha - taabu kweli kweli. Hivi Nyerere alipokuwa akilaani vitendo vya Israel alikuwa kama nani?
 
Good Statement by the Government.

We are the biggest country in the EA and politically well respected (thanks to Nyerere and his support for the continents liberation struggles). Of course we should release a statement, it's part of being a leader.
 
Back
Top Bottom