Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Ndugu wana JF, wakati wa kuhitimisha mjadala wa bajeti ya Tanzania sikuweza kufuatilia hivyo sifahamu kama mapendekezo yote yaliyokuwa kwenye hotuba ya bajeti yalipitishwa kuwa sheria. Naomba sana mwenye nakala ya Finance Act 2013 (final version) anipatie nakala