Tanzania External Deficit soaring!

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Kila siku tunaambiwa mambo powa, kila kitu dole tupu! Uchumi unakuwa!Lakini madeni na matumizi yanaongezeka marudufu.

Lini tutaacha kuteketea kiuchumi?

Tanzania`s external deficit up by 115 pc

2008-10-08 13:23:26
By Our Correspondent


Higher official current transfers and imports made Tanzania`s current account deficit rise by 115 per cent to USD3.12 billion in the 12 months to July from USD1.45 billion a year earlier, the central bank said yesterday.

Imports rose by close to 31 per cent, to USD5.74 billion, compared with the same period a year before, the Bank of Tanzania said in its Monthly Economic Review for August.
Exports of goods and services rose to USD3.97 billion compared with USD3.54 billion a year earlier.

The current account measures the net flow of current transactions, including goods, services and interest payments, in and out of countries.

``While imports of goods and services increased by 27.2 per cent, exports rose by 12.2 per cent,`` said the bank, adding: ``Official current transfers decreased to USD253.9 million in year ending July 2008 from USD808.1 million recorded in the previous year.``

Official current transfers comprise aid and loans from external sources.

According to the review, imports of goods such as telecommunications equipment, food, pharmaceuticals and oil increased during the period under review.

It said earnings from traditional exports - tea, coffee, cotton, tobacco and cashewnuts - had dropped to USD286.1 million.

``The decline in export volumes was largely due to a fall in production following unfavourable weather conditions at the beginning of the farming season in 2006/07,`` added the review.

The value of non-traditional exports, led by gold and manufactured goods, rose by 15.3 per cent to USD1.84 billion in the period under review, compared with the year ending July 2007.

Tanzania, which is reputed for stability in the region, largely depends on mining, tourism and agriculture for its livelihood.

But the contribution of financial services, manufacturing and telecommunications to its economy is growing steadily.

The bank said growth in exports of manufactured goods was largely due to higher investment in the manufacturing sector.

``In addition, security and political stability in the neighbouring countries, which are major destinations of manufactured goods, partly contributed to the impressive performance,`` it noted.

Tanzania exported 36.4 tonnes of gold over the period, down from 47.1 tonnes a year before, but its value has increased.

The value of gold exports is reported to have increased to $832.6 million in July 2008 following an increase in gold prices in the world market.
  • SOURCE: Guardian
 
Rev. Kishoka,

``The decline in export volumes was largely due to a fall in production following unfavourable weather conditions at the beginning of the farming season in 2006/07,`` added the review.


Hapa inabidi nicheke kidogo na sisi kumbe tunalima na kusafirisha kabisa agricultural products! najua mazao kama pamba, kahawa, mkonge na karafuu ilikuwa deal miaka ya nyuma sijui siku hizi ni vipi. Kama upungufu wa mvua umekuwa chanzo cha kushuka kwa ukulima tunafanya nini kuhakikisha hali hii hairudii? tunamkakati mzuri wowote wa kuwahamasisha wakulima kuona njia mbadala na sio kutegemea mvua tu, nani hasa anapaswa afanye hili?

Kwa kujijibu haraka haraka ni jukumu letu wote kusaidiana katika kufanikisha maendeleo ya nchi yetu lakini kitu kinasikitisha figure nyingi kuhusu kukua kwa uchumi zinatengenezwa tu hasa kipindi cha serikali ya tatu.
 
Rev. Kishoka,




Hapa inabidi nicheke kidogo na sisi kumbe tunalima na kusafirisha kabisa agricultural products! najua mazao kama pamba, kahawa, mkonge na karafuu ilikuwa deal miaka ya nyuma sijui siku hizi ni vipi. Kama upungufu wa mvua umekuwa chanzo cha kushuka kwa ukulima tunafanya nini kuhakikisha hali hii hairudii? tunamkakati mzuri wowote wa kuwahamasisha wakulima kuona njia mbadala na sio kutegemea mvua tu, nani hasa anapaswa afanye hili?

Kwa kujijibu haraka haraka ni jukumu letu wote kusaidiana katika kufanikisha maendeleo ya nchi yetu lakini kitu kinasikitisha figure nyingi kuhusu kukua kwa uchumi zinatengenezwa tu hasa kipindi cha serikali ya tatu.

Bei ya dhahabu kwa ounce moja katika NYSE leo hii ni $907 pamoja na kuwa na rasilimali kubwa ya dhahabu ongezeko la bei ya dhahabu katika soko la dunia halitunufaishi Watanzania. Wanaonufaika na Barrick, rafiki yake Kikwete, Sinclair na mashareholders wa makampuni hayo. Katika mauzo ya dhahabu toka Tanzania yenye thamani ya $2.1 billioni kati ya mwaka 2001 na 2006 Tanzania tuliambulia $78 millioni tu, lakini Kikwete ambaye wakati wa kampeni zake alidai ataingalia upya miakataba hiyo yuko kimyaa na huu ni mwaka wa tatu tangu aingie madarakani hajafanya lolote na sijui kama atafanya lolote kuhusiana na mikataba hiyo isiyo na maslahi kwa Watanzania.

Tungekuwa tunapata mapato yenye maslahi ya kutosha kutokana na dhahabu yetu tungeweza kupunguza kwa kiasi kikubwa hiyo trade deficit. Watanzania tulimchagua kwa kishindo Kikwete na kumwita mkombozi na wengine kuthubutu kumwita 'chaguo la mungu' kumbe kura za Watanzania zilipotea bure kwani waliyemchagua ni chaguo la mafisadi akina RA, Karamagi na kundi lao la wana mtandao na ahadi zake zote hakuna hata moja aliyoitekeleza anaendeleza usanii tu na uVDG.
 
GM,

Kisingizio cha mvua ni kila mwaka tangu El Nino ije!

You have asked the right question, lini tutakuwa tunajiaandaa vema ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa?

Je tumefanya utafiti pale SUA wa kuzalisha mbegu ambazo zinaweza kustahimili mvua kidogo?

Je tumeboresha uzalishaji wa kilimo kwa kuongeza upandaji na uvunaji ili tuhimili miaka ya kiangaizi kikali?

Naona hata kwenye Chakula, tumeongeza uagizaji, je tutaachana lini na kuagiza chakula? Je Big Five na Pemba haziwezi kuzalisha chakula cha kututosha Tanzania nzima na akiba ya kutosha miaka hata mitatu?

Bubu,

Hilo la dhahabu, tutaambiwa tunasubiri utafiti wa kamati kuchambua mapendekezo ya Tume ya Bomani!
 
Hii ni ishara mbaya kuhusu uchumi wetu! In the past 10 years the in-flow of funds from donors has helped Tanzania to balance its books. With the current financial meltdown in the major donor countries it is likely that in-flow of resources from donor countries will be reduced to a trickle. This should start to be experienced from the first quarter of 2009. We have to start living within our means - especially the Government. Matumizi ya serikali ni lazima yapungue sana.

Over the past 10 years nimekuwa na bahati ya ku-observe delegations za nchi nyingi za Africa kwenye mikutano ya kimataifa ya UN; AU; World Bank etc. In most cases Delegations from Africa Countries are the largest - at times 5 to 10 times the size of delegations from the more affluent and richer countries [Sweden; Denmark; UK; Singapore; China etc]. Na hata katika nchi za Kiafrika Delegations za Tanzania ni kubwa sana ukilinganisha na uchumi wetu. Mara nyingi unakuta size ya Tanzania Delegation ni mara 3 to 5 times the size of Delegations of much richer countries like Botswana; South Africa; Mauritius etc. I do not know how internally we can justify such trips - lakini kuna haja ya kupunguza drastically. Hata hao donors sidhani watatuelewa tunapopeleka bakuli la kuomba msaada!.

We are in for hard times and I believe the Government owes it to Tanzanians to be frugal - and this should apply to everybody from the highest level!
 
Wakati wa hali ngumu ya uchumi, wenzetu nchi zilizoendelea wanakata matumizi ya serikali. Sisi licha ya umasikini wetu, matumizi kila kukicha yanaongezeka, hii ikiwa ni pamoja na safari za kila kukicha, JK alivyoongeza idadi ya wizara, utitiri wa mashangingi n.k.

Swali la kujiuliza ni moja tu, Hivi tokea JK ameingia madarakani, ni kitu gani alichoanzisha na kuboresha nchini??
 
Bei ya dhahabu kwa ounce moja katika NYSE leo hii ni $907 pamoja na kuwa na rasilimali kubwa ya dhahabu ongezeko la bei ya dhahabu katika soko la dunia halitunufaishi Watanzania. Wanaonufaika na Barrick, rafiki yake Kikwete, Sinclair na mashareholders wa makampuni hayo. Katika mauzo ya dhahabu toka Tanzania yenye thamani ya $2.1 billioni kati ya mwaka 2001 na 2006 Tanzania tuliambulia $78 millioni tu, lakini Kikwete ambaye wakati wa kampeni zake alidai ataingalia upya miakataba hiyo yuko kimyaa na huu ni mwaka wa tatu tangu aingie madarakani hajafanya lolote na sijui kama atafanya lolote kuhusiana na mikataba hiyo isiyo na maslahi kwa Watanzania.

Tungekuwa tunapata mapato yenye maslahi ya kutosha kutokana na dhahabu yetu tungeweza kupunguza kwa kiasi kikubwa hiyo trade deficit. Watanzania tulimchagua kwa kishindo Kikwete na kumwita mkombozi na wengine kuthubutu kumwita 'chaguo la mungu' kumbe kura za Watanzania zilipotea bure kwani waliyemchagua ni chaguo la mafisadi akina RA, Karamagi na kundi lao la wana mtandao na ahadi zake zote hakuna hata moja aliyoitekeleza anaendeleza usanii tu na uVDG.
Thanks Rev. Kishoka and others for sharing these insights.

Nategemea kwamba with this financial crisis, bei ya dhahabu itaendelea kupanda. Sijui tumejipanga vipi kufaidika na hili?

Uchambuzi hapo chini unachambua mikataba michache tuliyonayo na wawekezaji wa nje katika sekta ya madini? Vile vile nani anafuatilia na ku-regulate sekta ya wachimbaji wadogo-wadogo. Kuna tathmini yeyote iliyofanyika ili tujue kipato kachopaswa kupatikana kutokana na sekta hii na kama kweli kipato hiki kinapatikana na kama hakipatikani ni kwa nini?
 
kudi-shauri,mugizi,mwanakijiji,rev.kishoka,

..majuzi Kikwete alikuwa anajisifia sana kuhusu ongezeko la makusanyo ya kodi.

..sasa mimi nilidhani ukusanyaji kodi ungeenda sambamba na upunguzaji matumizi yasiyo ya lazima. pendekezo moja ni kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na serikali.

..yaani Raisi anaelezea ongezeko la makusanyo ya kodi, bila kueleza fedha hizo zimekuwa invested wapi na kwa manufaa ya nani.

NB:

..mimi nadhani hiyo mikataba tumeshaula wa chuya. uwezekano wa kuibadilisha without a long and a costly battle ni mdogo sana.

..kwanini basi strategically hatuanzishi viwanda vya ku-process hayo madini yetu?

..lile azimio la kwamba Tanzania hatutasafirisha un-process tanzanite limeishia wapi?
 
Swali la kujiuliza ni moja tu, Hivi tokea JK ameingia madarakani, ni kitu gani alichoanzisha na kuboresha nchini??

Club ya mpira ya Yanga inaongoza ligi ya vodacom.....!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom