Tanzania Election 2010 Results as per NEC

Matokeo kama yalivyotangazwa na NEC muda mfupi uliopita
so far:


  1. Kikwete 64% 105,940
  2. Slaa 25% 41,198
  3. Lipumba 8% 13,812
nitaendelea kuwapa za uhakika kadri zinavyotangazwa na Tume na kuwa updated kwenye mtandao wa mwananchi link: Mwananchi Election Editions

hii ina issue yote as it is confirmed by NEC.

Hapo kwenye BOLD mbona kwangu sioni kitu? Kila niki-click inaonyesha majina ya wagombea tu!
 
Hope upepo utabadilika wakishatoka kwenye hizo ngome za CCM na CUF

Katika hizo ngome za CCM usiiweke Babati. Watu wa kule walikuwa na sababu zote za kumpa ushindi wa kishindo Slaa.

JK atashinda tena kwa margin kubwa tu. Hii haisemi kwamba ni raisi bora. Nadhani ni matatizo ya wapiga kura.
 
ila jamani kwenye hayo majimbo ambayo yameshatangazwa mbona naona kama vile kura alizopata slaa haziendani wala kulingana na enthusiasm iliyokuwepo. Au ni mimi tu nionaye hivyo?

U r right...lakini ngoja tusubiri waendelee na majimbo mengine, ila kama watakuwa wanaenda kwa mwendo huu wa majimbo kumi kumi sijui watamaliza lini?
 
Wameanza kutangaza majimbo ambayo wanajua hakuna ushindani, yaani penye wajinga wengi wanaoabudu mafisadi, na kuacha majimbo ambayo chadema ilishaonekana kushinda tangu jana! Wanawapa matumaini wafuasi wao, tusubiri!
 
Katika hizo ngome za CCM usiiweke Babati. Watu wa kule walikuwa na sababu zote za kumpa ushindi wa kishindo Slaa.

JK atashinda tena kwa margin kubwa tu. Hii haisemi kwamba ni raisi bora. Nadhani ni matatizo ya wapiga kura.

Sio kwamba ni matatizo ya tume ya uchaguzi.... call me anything but mimi sijazikubali hizi kura zinachukua masaa kibao kutangazwa
 
What CCM and clique is doing is the old cold war demoralization tricks,totally communist...,they are trying to demoralize voters of all the hopes and enthusiasm Dr.Slaa brought forward during the election.Kikwete 'Might' win,but not by 70%..,it will be by 40 something % or 50 something %,let us not forget the strongest of Chadema's camps are being held by NEC so as when they finaly "chakachua" the total votes everyone is disappointed and demoralized by Dr.Slaa poor showing.
Mark my words Chadema Faithful,CCM was Hit very hard during this election,they might not fell,but they will never be the same arrogant party we used to know.If CCM rules until 2015,Most young voters will be VERY VERY poor by then to even bother to hear about CCM again,so this might be a blessing in disguise for UPINZANI.2015 is one good year for poor Tanzanians.2010 is a defining one..,when it was made clear what CCM stood for,POOR,IGNORANT and BACKWARDNESS.
 
Makumbusho kuna heka heka as cuf wameshinda udiwani na chadema wameshinda udiwani mwananyala
 
Sio kwamba ni matatizo ya tume ya uchaguzi.... call me anything but mimi sijazikubali hizi kura zinachukua masaa kibao kutangazwa

Kuna hizi kamati za ufundi wanazifanyia mambo kura ndio maana. haiingii akilini kitendo cha ku sum up kikachukua muda mrefu kuliko kupiga kura na kuzihesabu.
 
wanabodi,

niko katika ukumbi huu wa paradise city hotel, ambapo kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ile jana, tume ya taifa ya uchaguzi, nec, ndio inatangaza rasmi matokeo ya urais.

Chumba kimefurika wanahabari wa kitaifa na kimataifa, pia tv ziko live kutoka ukumbini hapa, nitawaletea kinachojiri, ile wale wenye access na tv fuatilieni na kutupa updates


candidates political party number of
votes
percentage
votes
kuga peter mziray appt - maendeleo 34 0.41%
kikwete jakaya mrisho ccm 1,561 18.67%
slaa willibrod peter chadema 115 1.38%
lipumba ibrahim haruna cuf 5,674 67.85%
rungwe hashim spunda nccr-mageuzi 198 2.37%
mgaywa muttamwega bhatt tlp 64 0.77%
dovutwa yahmi nassoro dovutwa updp 98 1.17%​
spoilt votes 618 7.39%​
totals 8,362 100.00%​
matokeo ya uchaguzi wa rais kwa jimbo
jimbo:​
micheweni

 
Whats happening here is exactly what happened in Kenya. delayed results as the electoral officials inflate results in favour of Kibaki at the centres. Uzuri waTZ hawana ukabila so they can not start killing one another. We all hope for the best for yuo guys! Mbona Slaa kanyamaza, he should be calling press conferences to demand for the release of the results.
 
I would be worried if the results above were from MUSOMA,Shinyanga,KILIMANJARO,MBEYA,KIGOMA, etc...,Slaa should not be worried with those votes so far..,trailing by 60 thousands in such areas dominated by CUF and CCM.
The only dissapointment there should be BABATI..,and Tarime..,which went to CCM
 
are you poor in mathematics or what? hizo perentage mbona ni 113?
May your the one how is poor.
Sitaki,thanks i just finish checking the link it is true.Mwananchi Com has good set up for the up coming results.
 
Mwantumu Mahiza anachekelea sasa hivi... kikwete lazima amrudishe bungeni kwa kumteua mbunge!
 
Back
Top Bottom