DMussa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 1,310
- 296
Hivi mnajua mgodi wa Barrick North mara tokea mwaka 2001 hadi oct 2006 walikuwa wamezalisha 1million Ounces za dhahabu ambazo kwa hesabu ya haraka ni sawa na USD 480million au Tshs 570Billion!!! Je ktk uzalishaji huu sisi watanzania tumepata faida gani!! zaidi ya kubaki na mashimo (pits) na uharibifu wa mazingira????
Hakika kwa mtindo huu hatuwezi kuendelea hata kidogo... hii nchi inahitaji marekebisho makubwa sana ktk siasa ili tuendelee!!!
Hakika kwa mtindo huu hatuwezi kuendelea hata kidogo... hii nchi inahitaji marekebisho makubwa sana ktk siasa ili tuendelee!!!