mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
acha jazba mkuu. mimi kilichonishtua muhariri kumtukana mlalamikaji
Unauhakika gani mharir alimtukana huyo bwana? Tusubri tuone, nami nitatafuta watu tulifungulie kesi AL NNUR turejee mambo ya msingi waliyoambiwa kuzingatia wakati wanapewa kibali cha kuchapisha hilo GAZETI OVYO!