Hivi Tanzania Daima na mtoa hoja nani mzushi? Naona kama welewa kidogo umechangia kwenye hitimisho la mtoa hoja.
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.
Gazeti linatudanganya eti Lipumba atakuwa waziri katika baraza linalotarajiwa kutangazwa.Nimeishangaa sana habari hii ya gazeti ambalo nililiheshimu lakini sasa limepoteza sifa kwenye macho yangu.Nibora habari hiyo isingekuwa front page,kwa mtaji huu gazeti hili linaeneza siasa chafu za majitaka.Lengo lilikuwa kuichafua CUF tu.
Mazishi ya BALALI yalifanyika lini na wapi?