Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Kwa muda mrefu sasa nikifungua gazeti la Tanzania Daima mtandanoni nakutana na maneno "Maintanance Mode" Hii hali itaendelea mpaka lini maana wengine kwa mazingira tuliyopo hatuwezi kupata "Hard Copy" tunaategemea kusoma mtandaoni.
Hiyo Maintanance Mode mbona haiishi? Hakuna wataalamu tuwasaidie kufanya maintanance haraka?
Hiyo Maintanance Mode mbona haiishi? Hakuna wataalamu tuwasaidie kufanya maintanance haraka?