Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.
 
Siamini kama una ufinyu wa fikra kushindwa kuelewa dhamira ya mwandish kuweka habari kama hiyo tena frontpage,na usitawaliwe na ushabiki wa kupenda watu wako na cjui kama ni kigezo cha ukanda ama la wajua mwenyewe!tunaelewa propaganda inayofanzika na viongoz wa chadema kwa roho zao mbaya za ubaguzi ni kummaliza ZITTO kisiasa wanatumia muda mwingi ila nyota ya ZITTO hakuna mwenye kuweza kuifunika!dr. Slaa alienda kigoma na akaendesha kampen za kisirisiri ili ZITTO Akose ubunge na tulijua hilo wanakigoma walimpuuza na kumuona mbaguzi hata kura wakamnyima,tunaelewa wanakaskazin wote hawampendi zitto sababu ya umaarufu wake kuliko mwanachama yeyote ndani ya chadema na ndo kiongoz pekee mwenye sura ya kitaifa,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,
 
wote wanaopinga mada hiyo sio kuwa wana ufinyu wa fikra wanajua maana ya kuwekwa habari hiyo ni ajenda ya kumbomoa ZITTO kisiasa,ambayo inaendeshwa na uongozi wa chadema tena kwa makusudi kwa dhambi yao ya ubaguzi tu,dr. Slaa alithubutu hadi kuendesha kampen mbovu alipofika kigoma kutaka ZITTO Akose urais ila habari hizo tulizigundua na wanakigoma hawakutaka hata kumpa kura,sidhan kama chadema kuna mtu ana uwezo kama ZITTO!katufanza vijana weng tuamini katika siasa jitaidin kuthamin mchango wake,ndomana leo ukienda kaskazin hawamtaki ZITTO wanamwita msaliti kwa ujinga na propaganda za haya magazeti yanayotumwa na MBOWE kwa makusudi mazima,mnyonge mnyongen lakin haki yake mpeni
 
- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.

Sasa ulichokiandika ni kipi?manake umejitahidi kuchanganya kuku na ng'ombe katika zizi moja namanisha mafsadi ambao ni kama wewe na kina january na huyo ngeleja fisadi unayemtetea na usimweke zito katika group hilo lenu la mafsadi na tutawang'oa 2015
 
Unajua toka Zito atangaze kugombea urais kupitia CDM amekua adui wa Mbowe na magazeti yake pamoja na watu wote wa Kaskazini ambao wao mbowe ndiye mgombea sahihi kwa sababu anatoka Moshi.Zito komaa nao tu mpaka waache fitina zao.

Hayo ni mawazo yako hakuna anayekuzuia kufikiri,usilazimishe fikra zako kuwa ni za watu wengine.Watanzania sasa hivi wanawaza namna ya kutengeneza mustakabali wa jinsi ya kuendesha nchi yao na si rahisi mtu kujiimpose au kutengenezwa na akakubalika kuongoza.Uamuzi wa kutafuta viongozi ni wa wananchi hakuna mtu mwingine wa kuwaamulia.
 
- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.
Kwa kuwa JMK kawa RAIS wa JMT, Zitto naye anaweza na hata WJM sidhani utaishia kwenye Ubunge tu kama utaupata!
 
- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.

Le Baharia
hapo kwenye red hawo ni wanafiki wakubwa ktk Taifa letu, unafanya kosa kubwa sana kuwaweka pamoja na Kamanda Zitto, Zitto ni jembe la kweli na watanzania tunafahamu hivyo.
 
Zitto hana kosa mtu yeyote aweza kucheka na JK maana si kosa na kama mambo yatakuwa ivyo mnavyotaka basi itakuwa hakuna democrasia sasa
 
AHAAAA!!!! MTOA MADA ANA LAKE JAMBO!!! INA MAAANA KILA MWANAMKE AKICHEKA NAE AMEMKUBALI? HAHAHAHAH!!!!!:A S-baby::peace:pEOPLES POOOOOOOOOOOWER
 
Kuna wakati gazeti la mwanahalisi lilikuwa likiwinda sana nyendo za Zitto na lilikuwa likiripoti kila hatua chini ya ndgu kubenea, ila baadae ikaonekana gazeti la tz daima nalo linajivika hali ya kutofurahia baadhi ya matukio ya Zitto, alipoonekana na jk waliweka picha na maneno yenye kukufanya upate tafasiri mbilimbili, ila kwa hili lenye kichwa cha habari kuwa ni marfiki wa kufa na kufaana, inaathari kubwa sana kwa zitto na ukuzi wake wa kisiasa na kujenga imani kuwa sio mtumiwa wa jk, hasa kwa wasiosoma article wanaishia kusoma vichwa vya habari tu ni hatari kwa ukuzi wa siasa za ndgu zitto, shutuma zote zimwendee mhariri wa gazeti ni kwanini anaweka picha na kichwa cha habari kinachotoa tafasiri mbilimbili, je kama kosa ni kucheka yeye hakumbuki mzee Slaa na uongozi wa chama walitinga ikulu wkateta na kufanya maamuzi ya faida kwa nchi yetu, tafadhali sana naombeni tuwe na busara ya harakati, mhariri awe makini sana na aina yake ya ukamuzizio anaoufanaya
 
Kuna wakati gazeti la mwanahalisi lilikuwa likiwinda sana nyendo za Zitto na lilikuwa likiripoti kila hatua chini ya ndgu kubenea, ila baadae ikaonekana gazeti la tz daima nalo linajivika hali ya kutofurahia baadhi ya matukio ya Zitto, alipoonekana na jk waliweka picha na maneno yenye kukufanya upate tafasiri mbilimbili, ila kwa hili lenye kichwa cha habari kuwa ni marfiki wa kufa na kufaana, inaathari kubwa sana kwa zitto na ukuzi wake wa kisiasa na kujenga imani kuwa sio mtumiwa wa jk, hasa kwa wasiosoma article wanaishia kusoma vichwa vya habari tu ni hatari kwa ukuzi wa siasa za ndgu zitto, shutuma zote zimwendee mhariri wa gazeti ni kwanini anaweka picha na kichwa cha habari kinachotoa tafasiri mbilimbili, je kama kosa ni kucheka yeye hakumbuki mzee Slaa na uongozi wa chama walitinga ikulu wkateta na kufanya maamuzi ya faida kwa nchi yetu, tafadhali sana naombeni tuwe na busara ya harakati, mhariri awe makini sana na aina yake ya ukamuzizio anaoufanaya

Ungesoma hilo gazeti ungejua wameandika Marafiki wa kweli sio marafiki wa kufa na kufaana na mimi sioni kosa mara nyingi zitto kwa kinywa chake kasema mwenyewe Raisi Kikwete ni rafiki yake na hilo halina dhambi kwa nini iwe zambi mwandishi akiandika ,gazeti la mwanahalisi lilisaidia kutuonyesha zitto ana sura ngapi kisiasa
 
zitto mtu wa watu

Mtu wa watu gani? acha kumpatia sifa zisizo. Mimi najua Zitto ni opportunist ndiyo kauli zake huwa sio za chama ni zake binafsi, za kujitakia umaarufu tu. Angalia mienendo yake utaona kuwa sio mtu mzuri. Mosi kitendo cha yeye kutaka kugombania uenyekiti wa chama, kikatiba yuko sawa lakini kimantiki hakuwa sawa. Mara anataka kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, na mara zote anakimbilia kwenye vyombo vya habari kabla hata kungojea vikao vya chama. Huyu ni mtu wa kuogopwa sana.
 
ZITTO KABWE ni bora CDM na hakuna mwenye kufanana nae sifa mjiandae kumuua kama CHACHAWANGE maana 2015 anakuja kuwa RAIS simmemuarika LOWASA?SISI TUNAMTAKA ZITTO
 
nilisikiaga tetesi kuwa huyu jamaa ni mkazamwana wake, sijui ni kweli? mwenye data please! manake kama ni kweli si rahisi kumkasirikia mzaa chema
 
Ninaipenda CDM,ninawaamini viongozi wake lkn namna wanavyomkabili mbunge wangu Zitto wananikera!!Why Tanzania Daima and Mwanahalisi always???Not Jambo leo,habari leo or Uhuru???Urafiki wa watu wawili ukifanywa kuwa habari lazima kuwe na hidden agenda(nzuri/mbaya).

hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu,chukueni hoja yake wala si kumkebehi.ni wanangapi wamewaza kama yeye na hawajawasilisha hoja zao popote? yaweza kuwa ni point ya msingi hii habari kutafutiwa ufumbuzi.
 
- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.

nape wa nini nchi hii haiongozwi kwa uongo wake
 
ZITTO KABWE ni bora CDM na hakuna mwenye kufanana nae sifa mjiandae kumuua kama CHACHAWANGE maana 2015 anakuja kuwa RAIS simmemuarika LOWASA?SISI TUNAMTAKA ZITTO

Chacha Wangwe aliuawa na mafisadi wa Magamba acha ujinga we Nyang'au. Kwa nn Zito apendwe tu na Magamba wakati CDM hawana imani naye?
 
Siasa sio uadui. Hakuna shida JK na ZK kuwapamoja hatakama watakuwa wanalala chumba kimoja.CCM lazima ife.Achani kugombanisha watu. Tumezamilia wote kwa pamoja kuhakikisha CCM inang`oka.Zito,Slaa Mbowe haturudi nyuma
 
- Ninaamini kwamba Zitto ni one of the best politician we have tena kijana, kila siku ninamuombea Mungu amtangulie ili one day aje kwua Rais wa jamhuri hii, kwa sababu anao uwezo na anazo akili nyingi sana, na anao ujasiri, na anaweza kufanya mamuzi magumu.

- Ni mbunge wa Upinzani anayeheshimika sana na pande zote mbili kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kusimamia hoja, again MUNGU AMTANGULIE SIKU MOJA AJE KUA RAIS WA JAMHURI HII!

- Between Zitto, Januari, na Nape hili taifa linatakiwa kuwekeza zaidi kwa hawa vijana, kuliko kupingana nao kila wakti na kutoa mwanya kwa wazee kushika nchi, tizama majuzi wizara zote zilizokuwa na vijana sasa zimeshikwa na wazee!, bado nawakumbuka sana Ngeleja na Maige, good people ingawa ninaamini kwamba only Mahakama sasa iwasafishe!

William.
Hoja zako nyepesi nyepesi sana hasa ukizingatia kuwa wewe ni mmoja wa waanzilishi wa JF. Nakushauri kabla hujaleta mawazo yako hapa peleka kwa Kiranga au Mwanakijiji wafanya uhariri. Hoja zako hazifurahishi hata kidogo kwa kuwa hazisaidii akili katika kutafakari. Ulitakiwa kuonyesha kwa mifano halisi ni kwa kiasi gani Zitto yupo karibu na wenzake wa Chadema ukilinganisha na wale wa CCM. Usilete hoja nyepesi nyepesi zisizo na mashako kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom