Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
- Thread starter
- #61
Una story nzuri kwa wajukuu.CCM ni chama cha Kitaifa na kimataifa..kisera na hata kiuongozi (mpangilio nk)
Chadema ni chama cha kidini (ukristo) na kichagga kisera na hata kiuongozi (mpangilio nk)
Utaratibu wa kupata viongozi wa juu unaratibiwa na kanisa..kwahiyo waislamu watawekwawekwa tena wachumia tumbo e.g. Prof. Safari, Yule makamu wa darasa saba (kama vile wamekosa educated muslims) wanafanya kiini macho....
Chadema ki-utaratibu kinahakikisha maslahi ya kifedha yanafaidisha wachaga..tafuta watunza fedha na watumiaji fedha wengi wanatokea huko..wengine mtachujwa na kuzushiwa kashfa mpaka muondoke...
Waislamu wenye uwezo wamebinywa kwa maelekezo ya kanisa katoliki (hidden) mfano Zitto will go no where??, jambo hili linaratibiwa katika jumuia za kanisa katoliki mitaani....
Wanaweza kujivua gamba wakidhamiria kweli..lakini wanakoelekea wataimba sana kupata nchi kwakuwa ni wabaguzi wengi wa washabiki wao ni "christian fundamentlist"
Nembo ya chama ni msalaba (mistari meusi) wakipata nchi wanakamisha...
wamejificha lakini wanaonekana wazi kwa tabia, nyendo zao...