JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Mara nyingi vyombo mbalimbali vya habari vimekuwa vikitegemea kupata habari kutoka hapa JF na kwa lugha nyingine wamekuwa wakifanya biashara ya kuuza habari ambayo tunazileta hapa bila idhini ya wamiliki wa habari husika.
Kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo ukurasa wa mbele kuna habari viongozi chadema kuhujumiwa hii habari bila shaka ilijadiliwa hapa kwa kirefu sana, ila leo inatumika kuuza gazeti, inasikitisha, basi wahariri hata wangetumia busara kusema chanzo cha habari yao ni JamiiForums ili angalau hata kijijini ambako hawajui jamii forums waanze kutafuta na kujua ni nini, habari zetu mchukue bure basi mtusaidie kututangaza
Kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo ukurasa wa mbele kuna habari viongozi chadema kuhujumiwa hii habari bila shaka ilijadiliwa hapa kwa kirefu sana, ila leo inatumika kuuza gazeti, inasikitisha, basi wahariri hata wangetumia busara kusema chanzo cha habari yao ni JamiiForums ili angalau hata kijijini ambako hawajui jamii forums waanze kutafuta na kujua ni nini, habari zetu mchukue bure basi mtusaidie kututangaza