Tanzania Commit to Be More Open to Citizens

MashaJF

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
246
119
Open Government Partnership |

Twaweza.jpg

Inawezekana imewahi kujadiliwa, kama haijawahi kujadiliwa naomba tuijadili. Hii commitment kweli inatoka moyoni mwa viongozi wetu au ni kufurahisha watu flani wa nje? Manake ni makubaliano mengi ya kimataifa huwa yanasainiwa na viongozi wetu lakini ukija kwenye matendo yao ni tofauti kabisa!!

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom