BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Eti wataalamu wa cement wameohojiwa leo itv na tbc1 kuhusu bei ya cement kuwa sh 5,000 haiwezekani kutokana na gharama ya usafirishaji kuwa kubwa!
Wana JF, nauliza mbona bei ya soda huwa karibu sawa tz nzima? Maana Tanga, Mbeya na Dar kuna viwanda vya cement.
Okey, Dar, Mbeya, Mwanza na Moshi kuna viwanda vya soda. Je, utofauti au uwiano wa bei ya soda na cement kwanini utofautiane Mtwara, Kigoma, Rukwa?
Ninavyojua distributor hupewa bei tofauti kutegemea umbali.
Pili wamesahau hatuna reli ndio maana hatujui bidhaa zinagharama gani kusafirisha. Pia Libya huweka ruzuku ktk bei ya bidhaa kitu ambacho Dr Slaa pia atakifanya. Inakuaje cement itoke Pakistan iwe bei chini kuliko yetu? Jibu ni technology yetu hafifu!
Cha kushangaza hawa wawekezaji wa viwanda vya cement ni kampuni tofauti lakini hukaa Sea Cliff pamoja kesho yake bei inapanda kwa Twiga, Tembo na Simba cement; inakuaje na wakati kiwanda cha Twiga walisema bei itashuka kwakuwa wanatumia gesi ya Songosongo?
Wana JF, nauliza mbona bei ya soda huwa karibu sawa tz nzima? Maana Tanga, Mbeya na Dar kuna viwanda vya cement.
Okey, Dar, Mbeya, Mwanza na Moshi kuna viwanda vya soda. Je, utofauti au uwiano wa bei ya soda na cement kwanini utofautiane Mtwara, Kigoma, Rukwa?
Ninavyojua distributor hupewa bei tofauti kutegemea umbali.
Pili wamesahau hatuna reli ndio maana hatujui bidhaa zinagharama gani kusafirisha. Pia Libya huweka ruzuku ktk bei ya bidhaa kitu ambacho Dr Slaa pia atakifanya. Inakuaje cement itoke Pakistan iwe bei chini kuliko yetu? Jibu ni technology yetu hafifu!
Cha kushangaza hawa wawekezaji wa viwanda vya cement ni kampuni tofauti lakini hukaa Sea Cliff pamoja kesho yake bei inapanda kwa Twiga, Tembo na Simba cement; inakuaje na wakati kiwanda cha Twiga walisema bei itashuka kwakuwa wanatumia gesi ya Songosongo?