Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,309
tatizo sehem nipoyapeleka hakuna spea za yutong nataka yafanye kaz mozambique coz kule kuna matatizo ya usafiri kwa mfano toka nampula mpaka maputo hakuna mabus ya mojamoja kwa moja ambapo sometmz watu wanaenda wamesimama kwa almost 1800km pili cdhan kama yutong inaweza ikahimili
Ongea na yule msambaa"Mining Nice"akupe ujanja zile scania alitengenezea wapi