Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,317
- 10,938
Je kuna mtu yoyote anaeweza kunisaidia kuhusu kampun yoyote iliyoko tanzania inayojihusisha na utengenezaji na uuzaj wa mabus makubwa kwa hapa tanzania. Nnataka nifanye tathmin either kuimport au kununua hapa kwa sabab naona naona mabus ya ktz nimazur sana kwa barabara zetu tofaut na ya nje