QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Jana nilimsikiliza Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa makini. Nimeona umuhimu wa kuwa na wabunge kutokea CHADEMA. Pia nimeamini kuwa Kuwepo kwa mbunge mmoja wa CDM ni sawa na kuwa na wabunge 20 wa CCM/Magamba.
Lakini swali katika tafakuli hii ni Kama wabunge wa CDM wasingekuwepo Bungeni, hali ingekuwaje?
Tafakari, Chukua hatua.
Quality
Lakini swali katika tafakuli hii ni Kama wabunge wa CDM wasingekuwepo Bungeni, hali ingekuwaje?
Tafakari, Chukua hatua.
Quality