Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,989
Yawezekana tuko wengi tunafikiria lini tanzania itaondokana na umaskini ufisadi
na matatizo mengi tu ya dunia hii...kwa hakika wapo wasomi waliotoa mawazo yao leo hii wakiabika akuna linaloendelea zaidi ya kutupiwa lawama..wapo wazee wa zamani waliamua kuvunja ukimya na kukataa kulindwa na serikali na kusema uchafu na uozo unaoendelea utatumaliza...lakini leo nawaambia tutapiga makelele yote kila sehemu kama serikali ikiongozwa na rais wao kikwete aitamrudia mungu na kukiri yesu ni bwana \
kamwe tutarajie mengi mabaya na machafuhasa kipindi hiki wanapoenda kumalizia mlongo wao wakitumi chukua chako mapema........usikate tamaa zidi kuiombea ipo siku mungu atafungua njia
na matatizo mengi tu ya dunia hii...kwa hakika wapo wasomi waliotoa mawazo yao leo hii wakiabika akuna linaloendelea zaidi ya kutupiwa lawama..wapo wazee wa zamani waliamua kuvunja ukimya na kukataa kulindwa na serikali na kusema uchafu na uozo unaoendelea utatumaliza...lakini leo nawaambia tutapiga makelele yote kila sehemu kama serikali ikiongozwa na rais wao kikwete aitamrudia mungu na kukiri yesu ni bwana \
kamwe tutarajie mengi mabaya na machafuhasa kipindi hiki wanapoenda kumalizia mlongo wao wakitumi chukua chako mapema........usikate tamaa zidi kuiombea ipo siku mungu atafungua njia