Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
kumbe tulikosea kuwa na kauli mbiu ya "tanzania bila ugonjwa wa mbu" inawezekana, tungesema kuwa "tanzania bila umeme" inawezekana. Ndiyo inawezekana bila umeme maana tumeza, na tena "mgawo wa umeme UNAKUBALIKA." kama ingekuwaa haiwezekani tungekuwa hatuko gizani. wapi julius kambarage nyerere (waziri mkuu wa kwanza tanzania), wapi rashidi
faume kawawa "simba wa vita" (waziri mkuu wapili wa tanzania), wapi salimu ahmad salimu, wapi cleopa davidi musuya, wapi edward moringe sokoine, wapi joseph sinde warioba, wapi sigwiyimise john samwel malecela, wapi fredrck truwei sumaye, wapi edward ngoyai lowasa......?? jamani hawa watu walikuwa makini au hawakuwa makini.............?????????????
faume kawawa "simba wa vita" (waziri mkuu wapili wa tanzania), wapi salimu ahmad salimu, wapi cleopa davidi musuya, wapi edward moringe sokoine, wapi joseph sinde warioba, wapi sigwiyimise john samwel malecela, wapi fredrck truwei sumaye, wapi edward ngoyai lowasa......?? jamani hawa watu walikuwa makini au hawakuwa makini.............?????????????