Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,322
Wana ukumbi.
Kwa hivi sasa kuna mengi sana yanayotokea huko Tanzania Bara na kwa mwenye akili ataona kikubwa kilichopo ni kukosa Elimu kwa watu wengi na kuingia kwenye Ushabiki pasi na kujua mwisho wake.
Mimi nashauri ni vizuri Serikali ya Tanzania Bara iwekeze zaidi kwenye ilmu ili kuwafanya vijana wake wawe sio tu wasomi lakin pia wenye uelewa wa kuelewa mwelekeo wa dunia ya leo. Hii itawafanya sio tu wawe makini na uzalendo wa kutetea nchi yao lakin pia kuwapa ujasiri na uthubutu wa kulinda mali zake.
Mfano mdogo ni nchi ya Zanzibar ambayo imewekeza sana katika Elimu na kujenga vyuo vikuu vitano ambavyo kwa mwaka wana graduate wanafunzi wa undergraduate 3500 mpaka 5000. Sasa ukitazama kwa nchi ndogo kama hii ambayo ina wakaazi wasiozidi milioni moja na nusu kupata matunda kama haya ni ukombozi wa hali ya juu sana.Hili limepelekea vija wa kizanzibar kuondoa tofauti zao za kisiasa na kutetea maslhi ya Taifa lao kwanza.
kama Tanzania Bara itajikita na kuwekez katika Ilmu basi nafikiri ushabiki wa sasa na uwogo uliopo kwa jamii kwa Serikali na kuburuzana na vyama vya kisiasa.
Kuwekeza kwenye ilmu ni bora zaidi kwa vijana kuweza kulinda, kutetea na kuhishimu mamlaka ya nchi na jamii nzima. Nashauri wa tanzania Bara mlione hilo.
Kwa hivi sasa kuna mengi sana yanayotokea huko Tanzania Bara na kwa mwenye akili ataona kikubwa kilichopo ni kukosa Elimu kwa watu wengi na kuingia kwenye Ushabiki pasi na kujua mwisho wake.
Mimi nashauri ni vizuri Serikali ya Tanzania Bara iwekeze zaidi kwenye ilmu ili kuwafanya vijana wake wawe sio tu wasomi lakin pia wenye uelewa wa kuelewa mwelekeo wa dunia ya leo. Hii itawafanya sio tu wawe makini na uzalendo wa kutetea nchi yao lakin pia kuwapa ujasiri na uthubutu wa kulinda mali zake.
Mfano mdogo ni nchi ya Zanzibar ambayo imewekeza sana katika Elimu na kujenga vyuo vikuu vitano ambavyo kwa mwaka wana graduate wanafunzi wa undergraduate 3500 mpaka 5000. Sasa ukitazama kwa nchi ndogo kama hii ambayo ina wakaazi wasiozidi milioni moja na nusu kupata matunda kama haya ni ukombozi wa hali ya juu sana.Hili limepelekea vija wa kizanzibar kuondoa tofauti zao za kisiasa na kutetea maslhi ya Taifa lao kwanza.
kama Tanzania Bara itajikita na kuwekez katika Ilmu basi nafikiri ushabiki wa sasa na uwogo uliopo kwa jamii kwa Serikali na kuburuzana na vyama vya kisiasa.
Kuwekeza kwenye ilmu ni bora zaidi kwa vijana kuweza kulinda, kutetea na kuhishimu mamlaka ya nchi na jamii nzima. Nashauri wa tanzania Bara mlione hilo.