Ulimwengu wa leo ni wa sayansi na tekinologia, mataifa yaliyoendelea yako makini kukinga mali zisichukuliwe kwenda nje ikiwa ni pamoja na pesa taslim idadi kubwa.Sasa nimeamini nchi imeshauzwa! Hawa jamaa wanajitwalia maeneo yetu kama hayana wenyewe na viongozi wetu wanayauza kama vile dunia inaisha baada ya sisi, watu hawa watalimiliki maeneo haya vizazi na vizazi na wanapewa kishkaji kwa kuamini kuwa nchi nikubwa mno au baada ya kupenyeza rupia, je wangefanya haya kina Nyerere na Kina Kawawa tungekuwa na nchi kweli? Tutakuwa wapi miaka 50 ijayo i mean nchi itakuwa imebakia kipande gani?
These people leo wanaingia kama wawekezaji wakiwa mikono nyuma lakini baada ya mda watajipenyeza kwenye siasa zetu hizi ambazo wenye hela ndio wananafasi na tumeona mifano kwakina Rostam, Dewj, Abood Kina Rage na wengine wa aina hiyo! Hakika nawaambieni watanzania wenzangu hawa jama watakuja kutuvuruga mpaka na hao wanaotoa maeneo yetu watakuja kuvurugwa vilevile na kama sio kizazi hiki basi ni kizazi kijacho!
Anyway Mwenyezi Mungu atusaidie
Mnauza nchi ilimpate hela ya uji na tambi jioni kwi! Kwi! Kwi! Kwe! Teh!Mbona ilishaletwa zamani hii.
Mnauza nchi ilimpate hela ya uji na tambi jioni kwi! Kwi! Kwi! Kwe! Teh!
Kwani mtu akiuza aridhi huwa inapelekwa wapi? Uzeni na ile ofisi yenu iliyoko misitu ya pandeInapelekwa wapi ikishauzwa?
Kwani mtu akiuza aridhi huwa inapelekwa wapi? Uzeni na ile ofisi yenu iliyoko misitu ya pande
Wala usisingizie hoja ni muda wa kung'ata umefika nenda kajijaladie na magimbi hukoHuna hoja unaanza viroja.
Wala usisingizie hoja ni muda wa kung'ata umefika nenda kajijaladie na magimbi huko
Hela chafu za maharamia nazo unajisifia kuwa anawekeza? Au ndio viongozi wenu wa baadae Kama wakina rostam, manji, bashee, kinana na mafisadi wengine wa kihindi na kisomali ambao ndio wachangiaji wa kubwa wa Chama chenu cha mabwepande mkiambiwa ni Chama cha matajiri mnakataaWatu tushakula zamani saa hizi tungoja swalatul Fajr. Uko dunia hii.
Mtu alete fedha kwenu, ajenge kwenu, azungushe fedha kwenu, akuwachie utajiri wa kodi, wewe unasema imeuzwa nchi, ulijenga wewe ukakataliwa? wewe nikikuita hamnazo ntakuwa nimekosea?
Kuna Wachagga wananunuwa nyumba London na Dubai. Sasa hao si ndio wanauza nchi au hujui hilo? mmoja wapo ni Mweyekiti wa chadema.