DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kalalee. Hatuwezi kusovu matatizo ya EWURA kwa post katika JF saa 9 hizi za usiku!
Inauma Mkuu ukizingatia maisha yamekuwa magumu if you go down deep sometimes someone was supposed be hanged up kwa kutusababishia ugumu wa maisha bila sababu ya msingi.Maisha magumu madakatari wanagoma kwa kuwa maisha yamepanda nao wanaitaji kipatao zaidi,watu wanapoteza maisha kisa watu walishindwa kutimiza wajibu wao kwa muda sahihi na wakati sahihi.