Mkuu Uchumi wa nchi hauandaliwi na mashirika bali serikali na ndjio maana tuna Rais. Kama ingekwua hivyo kuna sababu gani ya kuwa na rais ikiwa mashirika yenyewe yanaweza kufanya hivyo!. Bado nakueleza kwamba hakuna biashara yoyote ya kiuchumi inayoweza kufanyika pasipo kupangwa mabadilishano, lazima serikali ijali sana negative balance of trade.Tunanunua mafuta toka kampuni ya Swiss sisi tunauza nini?..Bado huelewi mkuu wangu..Mkuu, nimecheka sana hii hofu yako. Hizi ni fedha wanazotoa Oil Marketing companies kwa mahitaji yao ya muda huo, na wala si serikali. Ni kwamba, badala ya wao kununua mmoja mmoja, sasa wameform kampuni inayokusanya mahitaji yao na kutangaza zabuni kwa ajili ya kuwaletea. Nitakutafutia literature proper nikutumie, ilimradi usiwe mvivu wa kusoma. Nitapenda u argue ukiwa na full knowledge.
Nchi inaweza tu kuendelea ikiwa nayo unauza mali zake nje, na sio kuwa at users end..hii ndio maana ya Ubepari kibiashara. Serikali inaanda mazingira bora ya biashara baina ya watu wake (mashirika) kuuza nje na pia washirika ya nje kuuza ndani kwa kuweka mkazo wa mabadilishano..Huwezi kuacha milango wazi kila mtu aingie maadam kashinda Tender ati tunapeleka mazao yetu soko huria tu watakao taka kununua wanunue - Hapana, tunalazimishana kununua mali zetu ndio Ubepari wenyewe na ndio maana unawaona kina Obama wako Japan na China. Nunua changu hiki nami nitanunua chako kile hutaki nitakwenda nchi wanayotaka kununua mali zangu..