Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
..Jamani eee,
kumradhi wale waliozaliwa baada ya Azimio la Arusha. Sisi wengine tulijionea vipaji ambavyo kwakweli leo hii tunajiuliza kulikoni vipaji hivi vimetoweka kwenye Riadha hapa nchini. Leo hii hatufui dafu hata kwa Wakenya? Tunashuhudia wahabeshi wakitajirika tu kwenye mbio ambazo miaka na miaka tulikuwa na washiriki mahiri kabisa.
UMISETA jamani, UMISETA!!! ...tufanye nini kuzalisha tena vipaji?
Filbert Bayi.
Huyu bado anashikilia Commonwealth record ya 3:33:2 aliyoivunja miaka Thelathini na sita (ndiyo 36!!!) iliyopita kule Christchurch New Zealand mwaka 1974 mbio za mita 1500!!!
Mbali na record hiyo, alivunja 1m record 1975, na alitupatia medali ya fedha kwenye 3000m steeple chase kwenye michezo ya Olympic Uursi mwaka 1980.
Suleiman Nyambui.
Gidamis Shahanga,
...huyu alikuwa anatutoa kimasomaso kwenye mchuano wa Mbio ndefu za 10,000m na Marathon!
1988 East and Central African Championships - gold medal (10,000 metres)
1984 Rotterdam Marathon - gold medal
1982 Commonwealth Games - gold medal (10,000 metres)
1979 All African Games - silver medal (marathon)
1978 Commonwealth Games - gold medal (marathon)
Juma Ikangaa!
1982 Commonwealth Games - Brisbane Australia Silver Medal
1988-1990 2nd place Boston Marathon
1989 Winner New York Marathon
1987 Winner Beijing Marathon
1986 Winner, second place 1983 Fukuoka JPN Marathon
1984, 1986 Winner; second place 1988 Tokyo Marathon
1983, 1984 Winner Melbourne Marathon
...Pamoja na wengineo wengi, mfano Nzael Kyomo, Mwinga Mwanjala, Mossi Ally, Zakayo Marekwa, ukoo wa kina Naali, na wengineo Taifa linahitaji kuzalisha, kukuza na kutoa wanariadha wapya wataolinyanyua juu kwa mara nyingine tena Jina la Tanzania kwenye Riadha.
Tufanyeje...? UMISETA ipo??? wafadhili je?
kumradhi wale waliozaliwa baada ya Azimio la Arusha. Sisi wengine tulijionea vipaji ambavyo kwakweli leo hii tunajiuliza kulikoni vipaji hivi vimetoweka kwenye Riadha hapa nchini. Leo hii hatufui dafu hata kwa Wakenya? Tunashuhudia wahabeshi wakitajirika tu kwenye mbio ambazo miaka na miaka tulikuwa na washiriki mahiri kabisa.
UMISETA jamani, UMISETA!!! ...tufanye nini kuzalisha tena vipaji?
Filbert Bayi.
Huyu bado anashikilia Commonwealth record ya 3:33:2 aliyoivunja miaka Thelathini na sita (ndiyo 36!!!) iliyopita kule Christchurch New Zealand mwaka 1974 mbio za mita 1500!!!
Mbali na record hiyo, alivunja 1m record 1975, na alitupatia medali ya fedha kwenye 3000m steeple chase kwenye michezo ya Olympic Uursi mwaka 1980.
Suleiman Nyambui.
Alituletea medali ya fedha baada ya kuibuka kidedea kwenye mchuano wa 5000m kwenye michezo ya Olympic 1980 kule Urusi.
Licha ya hayo, alikuwa mwakilishi wetu mzuri tu chuoni UTEP (University of Texas at El Paso) ambako February 1981, alivunja world indoor 5,000 meter record kwa kutumia muda wa 13:20.4.
Gidamis Shahanga,
...huyu alikuwa anatutoa kimasomaso kwenye mchuano wa Mbio ndefu za 10,000m na Marathon!
1988 East and Central African Championships - gold medal (10,000 metres)
1984 Rotterdam Marathon - gold medal
1982 Commonwealth Games - gold medal (10,000 metres)
1979 All African Games - silver medal (marathon)
1978 Commonwealth Games - gold medal (marathon)
Juma Ikangaa!
1982 Commonwealth Games - Brisbane Australia Silver Medal
1988-1990 2nd place Boston Marathon
1989 Winner New York Marathon
1987 Winner Beijing Marathon
1986 Winner, second place 1983 Fukuoka JPN Marathon
1984, 1986 Winner; second place 1988 Tokyo Marathon
1983, 1984 Winner Melbourne Marathon
...Pamoja na wengineo wengi, mfano Nzael Kyomo, Mwinga Mwanjala, Mossi Ally, Zakayo Marekwa, ukoo wa kina Naali, na wengineo Taifa linahitaji kuzalisha, kukuza na kutoa wanariadha wapya wataolinyanyua juu kwa mara nyingine tena Jina la Tanzania kwenye Riadha.
Tufanyeje...? UMISETA ipo??? wafadhili je?