Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
- Thread starter
- #61
Geza Ulole,
..sasa ina maana Wakenya wakiamua kuharibu kwao na sisi tuwafuate kuharibu vya kwetu??
..I dont think the ecosystem of Lamu, is in any way comparable in value to that of Serengeti.
..There r alternative route to the road and railway that will not disturb the Serengeti ecosystem. We should explore those alternatives.
Hapana sina maana hiyo ila mimi kama mwanamazingira ninaamini the Serengeti of 15,000 sq km can absorb the pressure from a road disecting only 50 km within! Pili the Serengeti the way it is now is not a pristine nature (ukizingatia influx ya watu wanaoenda kutalii)! Tatu there is no a pristine nature in this World as long as there is a man contact with whatever nature! Kama sivyo then tunnel is the best solution (technology zipo za kujenga tunnel!)! Nne why are Kenyan activitists plus others via Nationmedia are withholding us to those conservation higher standards while they go silent on similar issues on their own backyard? Isn't that double standards via political motives and not conservation? Hii project ingekuwa ulaya nina uhakika 100% ingepitishwa lakini kwa vile inafanyika huku tunawaona hawa wazungu+majirani wanafiki wakitia pingamizi as if hawaoni economic benefits zake kwa societies living around the park! katika sustainable development vitu kama hivi vinaangaliwa via EIA na kuona uwezekano wa ku-implement project at the lowest damage! maana the project is necessary! Sasa haya majinga yanalazimisha southern route ambayo by any means will render the project uncompetitive to the Mombasa-Kampala route! That's a conspirancy my friend we need to wake up and tell them to back off with their hidden agenda! Kama the west inathamini sana the Serengeti kwanini the EU isitoe funds za kujenga tunnel on that 50 km across the Serengeti (be it US$ 500mio. even a US$ 1 bio.) ? nathani utaona hypocricy hapa suala ni kwamba Kenya hawataki competition na yet wanahimiza common market sasa sijui ni ipi hiyo? au ndo ile ya kununua bidhaa zao tu!