kuna mifano mingi sana ambayo inaonyesha kuwa Tanzania inaweza kuinuka ilipo endepo CCM ikiondoka maana mfano angalia Kenya ,Rwanda,Botwana na nyingine ambako kwa africa zipo nchi 15 hawategemei AId za zinaenda vizuri hata zimbabwe kwa sasa wameshika kazi baada ya shida nyingi lkn kwa sasa hata hawana mipango na hiyo aid so the only thing ni kuwaondoa CCm kwa njia yeyote maana bila CCM kuondoka hakuna maendeleo yoyote tena hali itazidi kuwa mbaya.
Njia ya kwanza kabisa tume huru ya uchaguzi na kila raia awe huru kupiga kura
Njia ya kwanza kabisa tume huru ya uchaguzi na kila raia awe huru kupiga kura