Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,737
Kwanza utafanya MAKOSA MENGI OF WHICH DR. SLAA ITAMUHARIBIA....siasa ni upepo na imani za watu.... so waache wenye kujua mwelekeo wa upepo huo kama Dr. Slaa afukuzane nao...
Just that.... THIS IS CRUCIAL AGAIN....
......
Just that.... THIS IS CRUCIAL AGAIN....
......
Majebere,mimi ni mtanzania,ninauchungu na nchi yangu.
Ninauchungu na watoto wangu.Sijui nikifa leo wataishi vipi,watakuwa nani maana no future with my country.
Achana na issue za personality,whatever it is CCM lazima iondoke,Ni mungu anajua what next because what am doing today is to work for my today Kesho ni ya Mungu.
Tafadhali napo simama mimi kama mimi wewe unahaki ya kuniuliza maswali zungumza yako pia.
Sijamtaja kiongozi yeyote kwanini unakimbilia kujadili watu? au ndiyo poor mind with lazy muscles