Tanz/tang wanajadili suhusu katiba mpya zanzibar tunajadili muungano ni kitu tofauti

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Kumekuwa na mijadala mingi juu ya katiba mpya tanzania pamoja na zanzibar,lakini mimi nitakosoa kidogo,kukiangalia hapa lazima kutakuwa na matatizo ya muungano,kwanini tanganyika wajadili katiba zanzbar wajadili muungano ? Hili suala nimekuwa nikijiuliza sana lakini jibu nimelipata na lipo wazi kabisa.

zanzibar pamoja na wazanzibari wenyewe wanajadili suala la muungano kutokana wao ndio unaowaumiza,tanganyika wao hawaumizi,kivipi ? tanganyika ndio hii inayojiita tanzania hata ukiangalia nembo inayotumika kwa jina la tanzania ni ile ile ya tanganyika,kwa hiyo ni zahiri kabisa kuwa ni tanganyika,ni sawa zaire kuita kongo.

kwa hiyo masuala mengi ambayo ya tanganyika yako katika muungano na wao,na mamlaka yote imebeba serikali ya muungano,ndio maana wazanzibari wao wanajadili muungano kutokana ndio ulobeba mamlaka ya ya zanzibar,kivipi,kiuchumi inawaathiri,na zanzibar inataka isimame kama ni dola kamili kimataifa,iweze kiunuka kiuchumi.

kwa mfano mambo ambayo yanawarudisha zanzibar nyuma,katika masuala ya muungano kukosa kiti chao katika umoja wa mataifa,wazanzbari wanataka wasimame kama ni nchi na utaifa wao.

Kiuchumi nayo inawaasiri,wanakosa misaada kutoka katika umoja wa mataifa na duniani kote,kiasi ambacho msaada wowote unaokuja tanzania ambao hasa wa zanzibar unapitia katika muungano na walengwa ambao wao hauwafiki,kielimu pia hawafaidiki hasa ya juu kunapotokea nafasi za nje,ki afya misaada kutoka njee,wawekezaji kutoka njee,hayo yote yanaishia katika serikali ya muungano,mikopo inaishia katika muungano,ndio maana wazanzbari wanataka muungano ujadiliwe upya.

Lakini nikifata history ya muungano huu una ulakini,nafikiri ipo haja ya kujadiliwa kwa pande zote mbili,lakini mjadala huu vipi utafanyika wakati tanganyika haipo ?

Pia wazanzbari wanadai yakuwa mkataba wa muungano haupo,na ndio maana wao wanataka kuujadili,tumeona kuwa chanzo kikubwa cha mgogoro wa katiba pale zanzbar walipobadilisha katiba yao kuipa hadhi nchi yao kutambulika kama ni nchi,chama cha chadema wakaleta mjadala kuwa zanzbar imevunja mkataba wa muungano,na watanganyika wote wakaliunga mkono kuvunjwa kwa muungano huo kwa kipengele kile kinacho sema kule zanzbar ni nchi na ina mipaka yake.

sasa mi nataka kuuliza jee hatukuona kuwa muungano ulishavunjika zamani pale sisi watanganyika tukaivunja tanganyika kuita tanzania jee wakati tulipo ivunja tuliwashirikisha wenzetu wazanzibari ? laaa hakuna,jee muungano upo hakuna ? hakuna ... kutokana mshiki wake ameshakufa,hili ndio tatizo kubwa lililoleta mjadala zanzbar kwa kunyang'anywa mamlaka yake,mamlaka ya tanganyika yameingizwa katika muungano na ndio ikawa inaiburuza zanzbar.

masuala yanayohusu tanganyika basi tunaya force yaende na zanzibar,mfano zahiri TRA, pia tulitaka tuwapelekee TBS,haya ndio makosa makubwa tunayofanya,pia tunawapa asilimia 4.6 ya misaada kutoka njee,hii haiwezekani,kwani wao ni taifa huru na ni nchi,huu sio makubaliano,lazima tugawane sawa sawa.

Ndio maana zanzibar wanadai mamlaka yao ambayo miaka 47 imewarudisha nyuma kiuchumi,hivi sasa waziri kutoka zanzibar akitaka kuenda nje kuomba msaada lazima aombe ruhusa kwa muungano kutokana yeye ndie anayeshughulika na masuala ya njee na hii sio haki,tumewanyang'anya mamlaka yote.

kwa hiyo sasa hivi tanzania nafikiri ni wakati wa kujadili suala la muungano,tina tuwashirikishe wananchi,sio chama wala raisi wala waziri,tena pande zote mbili zanzabar na tanganyika.

Pili upitiwe mkataba wa muungano uwangaliwe umepitwa na wakati au bado,tatu tunangalie yale masuala ya muungano,na yajadiliwe na pande mbili sio bunge bali wazanzibar na watanganyika,tena kisheria,ikiwa wanasheria wa tanganyika wako sita na zanzbar sita ndio inavyo takiwa.

WazanzIbari wanadai na wanajadili na wanataka kujadili muungano kwanza ndio ijadiliwe katiba.

Muungano umeelemea kwa upande mmoja tu unaonekana,ndio maana watanzania bara hawakutaja sula la muungano kutoka wao haliwaumi,ili tuweze kufika huko tunako kwenda lazima tujadili muungano ndio tujadili katiba.

Lazima kuwe na mfumo wa serikali tatu lazima lazima au muungano uvunjwe,sisi watanganyika tunataka tusimame kama watanganyika na wazanzibari nao wasimame kama wazanzibari.

Tuwe na muungano kama wa east africa mashariki sio muungano huu sikuwa na tija na wala fair kwa pande zote mbili.

Mimi kama mimi ningependelea kuwe na serikali tatu sijui wewe mtanzania mwenzangu ?
 

Attachments

  • 1963-UN-Zanzibar.jpg
    1963-UN-Zanzibar.jpg
    13.3 KB · Views: 43
Kumekuwa na mijadala mingi juu ya katiba mpya tanzania pamoja na zanzibar,lakini mimi nitakosoa kidogo,kukiangalia hapa lazima kutakuwa na matatizo ya muungano,kwanini tanganyika wajadili katiba zanzbar wajadili muungano(1) ? Hili suala nimekuwa nikijiuliza sana lakini jibu nimelipata na lipo wazi kabisa.

zanzibar pamoja na wazanzibari wenyewe wanajadili suala la muungano kutokana wao ndio unaowaumiza,tanganyika wao hawaumizi,kivipi (2) ? tanganyika ndio hii inayojiita tanzania hata ukiangalia nembo inayotumika kwa jina la tanzania ni ile ile ya tanganyika,kwa hiyo ni zahiri kabisa kuwa ni tanganyika,ni sawa zaire kuita kongo.

kwa hiyo masuala mengi ambayo ya tanganyika yako katika muungano na wao,na mamlaka yote imebeba serikali ya muungano,ndio maana wazanzibari wao wanajadili muungano kutokana ndio ulobeba mamlaka ya ya zanzibar,kivipi,kiuchumi inawaathiri,na zanzibar inataka isimame kama ni dola kamili kimataifa,iweze kiunuka kiuchumi(3).

kwa mfano mambo ambayo yanawarudisha zanzibar nyuma,katika masuala ya muungano kukosa kiti chao katika umoja wa mataifa,wazanzbari wanataka wasimame kama ni nchi na utaifa wao.

Kiuchumi nayo inawaasiri,wanakosa misaada kutoka katika umoja wa mataifa na duniani kote,kiasi ambacho msaada wowote unaokuja tanzania ambao hasa wa zanzibar unapitia katika muungano na walengwa ambao wao hauwafiki,kielimu pia hawafaidiki hasa ya juu kunapotokea nafasi za nje,ki afya misaada kutoka njee,wawekezaji kutoka njee,hayo yote yanaishia katika serikali ya muungano,mikopo inaishia katika muungano,ndio maana wazanzbari wanataka muungano ujadiliwe upya.(4)
Lakini nikifata history ya muungano huu una ulakini,nafikiri ipo haja ya kujadiliwa kwa pande zote mbili,lakini mjadala huu vipi utafanyika wakati tanganyika haipo (5)?

Pia wazanzbari wanadai yakuwa mkataba wa muungano haupo,na ndio maana wao wanataka kuujadili,tumeona kuwa chanzo kikubwa cha mgogoro wa katiba pale zanzbar walipobadilisha katiba yao kuipa hadhi nchi yao kutambulika kama ni nchi,chama cha chadema wakaleta mjadala kuwa zanzbar imevunja mkataba wa muungano,na watanganyika wote wakaliunga mkono kuvunjwa kwa muungano huo kwa kipengele kile kinacho sema kule zanzbar ni nchi na ina mipaka yake.

sasa mi nataka kuuliza jee hatukuona kuwa muungano ulishavunjika zamani pale sisi watanganyika tukaivunja tanganyika kuita tanzania jee wakati tulipo ivunja tuliwashirikisha wenzetu wazanzibari ? laaa hakuna,jee muungano upo hakuna ? hakuna ... kutokana mshiki wake ameshakufa,hili ndio tatizo kubwa lililoleta mjadala zanzbar kwa kunyang'anywa mamlaka yake,mamlaka ya tanganyika yameingizwa katika muungano na ndio ikawa inaiburuza zanzbar.

masuala yanayohusu tanganyika basi tunaya force yaende na zanzibar,mfano zahiri TRA,(6) pia tulitaka tuwapelekee TBS,haya ndio makosa makubwa tunayofanya,pia tunawapa asilimia 4.6 ya misaada kutoka njee,hii haiwezekani,kwani wao ni taifa huru na ni nchi,huu sio makubaliano,lazima tugawane sawa sawa.

Ndio maana zanzibar wanadai mamlaka yao ambayo miaka 47 imewarudisha nyuma kiuchumi,hivi sasa waziri kutoka zanzibar akitaka kuenda nje kuomba msaada (7)lazima aombe ruhusa kwa muungano kutokana yeye ndie anayeshughulika na masuala ya njee na hii sio haki,tumewanyang'anya mamlaka yote.

kwa hiyo sasa hivi tanzania nafikiri ni wakati wa kujadili suala la muungano,tina tuwashirikishe wananchi,sio chama wala raisi wala waziri,tena pande zote mbili zanzabar na tanganyika.

Pili upitiwe mkataba wa muungano uwangaliwe umepitwa na wakati au bado,tatu tunangalie yale masuala ya muungano,na yajadiliwe na pande mbili sio bunge bali wazanzibar na watanganyika,tena kisheria,ikiwa wanasheria wa tanganyika wako sita na zanzbar sita ndio inavyo takiwa.(8)
WazanzIbari wanadai na wanajadili na wanataka kujadili muungano kwanza ndio ijadiliwe katiba.(9)

Muungano umeelemea kwa upande mmoja tu unaonekana,ndio maana watanzania bara hawakutaja sula la muungano kutoka wao haliwaumi (10),ili tuweze kufika huko tunako kwenda lazima tujadili muungano ndio tujadili katiba.

Lazima kuwe na mfumo wa serikali tatu (11)lazima lazima au muungano uvunjwe,sisi watanganyika tunataka tusimame kama watanganyika na wazanzibari nao wasimame kama wazanzibari.

Tuwe na muungano kama wa east africa mashariki sio muungano huu sikuwa na tija na wala(12) fair kwa pande zote mbili.

Mimi kama mimi ningependelea kuwe na serikali tatu sijui wewe mtanzania mwenzangu ?

Ndugu yangu, nadhani uchanga wako katika hii forum ndio umepelekea kuja na hoja hii. Itabidi tukutendee haki ya kukueleimisha kwani hakuna mjuzi zaidi ya mwingine. Hoja yako umeileta kama Mzanzibar na kila ulivyoendelea umejiita Mtanganyika, hii inaonyesha hufahamu wapi unasimamia.
1. Sijui utajadili vipi muungano bila ya kujadili katiba. Katiba ndio mungozo wa muungano.
2. Kama ungekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala hoja yako (angalia red 2)usiingeileta hapa maana inamajibu tayari
3. Hukufanunua kiuchumi Znz inaathirika vipi zaidi ya kufaidika. kama kuwa dola ndio znz inafikiri ni uchumi Haiti isingekuwa masikini sana.
4. Huna ushahidi na umeandika kwa hisia tu pengine kwa kumsikiliza Maalimu maana hii ndio kauli mbiu yake.
5. Unajibu kauli zako kuwa Tanganyika wana madai ya msingi, na kukanusha kuwa wao wameridhika (unajichanganya)
6. TRA, unajua ni kiasi gani ZNZ inatumia rasilimali za bara? inalipa kwa njia gani.
7. Kwamba maendeleo ya ZNZ yanategemea misaada!! good point! endeleeni ulala
8. Kinachohitajika ni busara na uelewa si idadi ya watu. Masuala kama haya hayapigiwi kura bali yanaongozwa na busara.
9. Hiyo ni sawa na kujadili mimba kabla ya ndoa. huwezi kujadili kitu kisicho na muongozo
10. Haliwaumi kwasababu hawana cha kupoteza
11. serikali tatu nani agharamie serikali ya muungano kwa bajeti ya ZNZ (500 B )
12. Kama hauna tija wale wznz 700,000 wanafanya nini bara

Huna hoja, tulizana kwanza uelewe JF nini, kama wapo waliokutuma waambie umeingia wrong place.
 
1. tanzania bara wanajadili katiba badala ya muungano,zanzbar wanajadili muungano
2. Japokuwa inamajibu lengo langu ni kuwaelimishwa watanzania.
3.Nitajie faida tatu ambazo tunafaidika kwa zanzibar na tanganyika....
4.ushahidi upoo na uko wazi kabisa.
5. Ikiwa hamkurudhika kwa nini musilete majadala wa tanganyika irudishwe mukadai katiba tu.
6. Rasilimali zipi ambazo tunazotumia ? Unaju kiasi gani TRA kinakusanya zanzibar ?
7. Nchi kama nchi lazima iwe na international relation,kuna misaada ya kuingia na kutoka,inaweza kupitia kwa hapo,zanzbar haina international relation representative.
8. Huwezi kujadili katiba bila ya muungano
9 Masuala haya yanahitaji kuelimisha watu baadae kupigwe kura ya maoni kwa kupata jibu sahihi kutoka kwa wananchi kama wamelikubali au laaa..
10.sawa sawa ahliwaumi kutokana tanganyika imo ndani ya muungano na ndio imekamata sehemu zote na ndio inayofaidika.
11. Hili suala la gaharama ni suala la mjadala wa muungano kwani hapo before kabla ya muungano,hakuwa na majadiliano bali uliharakizwa kwa vitisho ili zanzibar iinngie katika muungano...fatilia history.
12. Hata kama tusingelikuwa na muungano hazuiwi mtu kufanya biashara ulimwengu mzima,wazanzbari wanaweza kuishi kisheria kama sio mtanganyika na akalipa gharama zote,wako wazanzbari msumbiji,uganda,kenya,kila pande za dunia wako wanafanya biashara,pia tanganyika wako wachina,wahindi,wakenya,hiyo sio sababu ya msingi.
8
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom