Mugo wa kibilo
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 175
- 72
Tanroads kibaha vipi mbona wako kimya? Mwenye taarifa jaman.
Weighbridge Operators tayari walishaitwa na kufanyiwa usaili. If possible nenda hadi kibaha mile 1, huu upande ambao kuna geti yanatokea mabasi yanayotoka Moro kuingia dsm, kuna bar, ukiangaza macho yako vizuri pembeni mwa zile kuta utaona makaratasi yamebandikwa yana majina ya hao weighbridge operators.
Mwanzoni nilipoyaona yale majina ckutak kuamin but ile ndiyo ilikuwa hali halisi, taasisi kubwa kama ile TANROADS bado inafanya kazi ANALOGICALLY, inaenda kubandika majina ya watu "CALL FOR INTERVIEW" kwenye kuta za stand.......!
kiongozi hawa tanroads kibaha wameita interview. mimi nitafanya ijumaa tarehe nane. na mshkaji wangu atafanya kesho tar sita. zote ni za shift incharge.ila sijajua tupo wangapi nk. kuhusu operators sijajua mkuu wangu. kama vp nikutumie namba yao ya zantel waliyotumia kunicall. jioni njema
kiongozi hawa tanroads kibaha wameita interview. mimi nitafanya ijumaa tarehe nane. na mshkaji wangu atafanya kesho tar sita. zote ni za shift incharge.ila sijajua tupo wangapi nk. kuhusu operators sijajua mkuu wangu. kama vp nikutumie namba yao ya zantel waliyotumia kunicall. jioni njema
kiongozi hawa tanroads kibaha wameita interview. mimi nitafanya ijumaa tarehe nane. na mshkaji wangu atafanya kesho tar sita. zote ni za shift incharge.ila sijajua tupo wangapi nk. kuhusu operators sijajua mkuu wangu. kama vp nikutumie namba yao ya zantel waliyotumia kunicall. jioni njema