GIB
JF-Expert Member
- Mar 2, 2012
- 336
- 92
Kichwa cha habari chahusika.
Sisi watumiaji wa barabara ya moshi arusha tumeletewa kero tena kero ya mwaka. Maneja wa TANROAD arusha sijui kwa maslahi ya nani ameamua kuanzisha mizani bubu pale KIKATITI.
Hii mizani bubu wengine wanaita mkeka ikiwa na watumishi wenye kiburi na majibu ya dharau kwasisi watumiaji wa hii barabara.
Sehemu hiyo ya kikatiti ni nyembamba sana, hivyo kusababisha foleni ndefu isiyo elezeka. kwani tulisubiri kwanye foleni kwa zaidi ya saa moja , mabasi ya abiria na malori ya mizigo yote yanagombania kupima kwenye hiyo mizani moja.
Cha ajabu zaidi inaonekana nimradi wa kukusanya pesa, kwani leo ni siku kama ya nne hakuna gari hata moja lililo kamatwa kwa kuzidisha mzigo. je hakuna magari yaliyo zidisha mzigo? ukweli nikwamba wanaendeleza utaratibu wa chukua chako mapema. Je hizo pesa zinazokusanywa zimaenda wapi?
Mh. Dr, Mzee wa data, najua wajua kunamizani ngapi tanzania nzima pomoja na mahali zilipo. Je unaijua mizani hii inayobebla kwenye gari la TANROAD lanye namber STG 8?. Naje hizii pesa zinashokusanywa hapo unazo taarifa zake?
Najua nimuhimu kulinda barabara zetu, je hakuna utaratibu au sehemu nzuri ya kupimia hadi pale katiti? hamuoni tatizo kusababisha kero hii? au mpaka tuandamane ?
Hii mizani imekuwa kero sana tena sana. Meneja kumbuka kutoka katiti hadi njia panda ya himo kwenye mizani nyinginehakuna kilometer 150. je unazani gari likipima pale himo ni lazima lije kupima tena hapo katiti , jamani hii nikero tena kero.
Nawakilisha.
source : mimi mwenyewe
Sisi watumiaji wa barabara ya moshi arusha tumeletewa kero tena kero ya mwaka. Maneja wa TANROAD arusha sijui kwa maslahi ya nani ameamua kuanzisha mizani bubu pale KIKATITI.
Hii mizani bubu wengine wanaita mkeka ikiwa na watumishi wenye kiburi na majibu ya dharau kwasisi watumiaji wa hii barabara.
Sehemu hiyo ya kikatiti ni nyembamba sana, hivyo kusababisha foleni ndefu isiyo elezeka. kwani tulisubiri kwanye foleni kwa zaidi ya saa moja , mabasi ya abiria na malori ya mizigo yote yanagombania kupima kwenye hiyo mizani moja.
Cha ajabu zaidi inaonekana nimradi wa kukusanya pesa, kwani leo ni siku kama ya nne hakuna gari hata moja lililo kamatwa kwa kuzidisha mzigo. je hakuna magari yaliyo zidisha mzigo? ukweli nikwamba wanaendeleza utaratibu wa chukua chako mapema. Je hizo pesa zinazokusanywa zimaenda wapi?
Mh. Dr, Mzee wa data, najua wajua kunamizani ngapi tanzania nzima pomoja na mahali zilipo. Je unaijua mizani hii inayobebla kwenye gari la TANROAD lanye namber STG 8?. Naje hizii pesa zinashokusanywa hapo unazo taarifa zake?
Najua nimuhimu kulinda barabara zetu, je hakuna utaratibu au sehemu nzuri ya kupimia hadi pale katiti? hamuoni tatizo kusababisha kero hii? au mpaka tuandamane ?
Hii mizani imekuwa kero sana tena sana. Meneja kumbuka kutoka katiti hadi njia panda ya himo kwenye mizani nyinginehakuna kilometer 150. je unazani gari likipima pale himo ni lazima lije kupima tena hapo katiti , jamani hii nikero tena kero.
Nawakilisha.
source : mimi mwenyewe