Tanil Somaiya kukutana na waandishi

How true.I was just thinking the same when I landed on this page.Its like we were there at the same time.

Hizi 'movie' duh. mimi naipa title hii movie: 'no retreat no surrender' sterlings RAM and RA. Wapi: hotel za kifahari, jijini Dar. wasioweza kupata kiingilio mnaweza kudesa JF!!
 
Mwenye picha ya Tanil atuwekee hapa Please

Tuone hili papa fisadi lina ukubwa gani?
 
Bado Jeet Patel!!! Nimeamini sasa serikali inaongozwa na wanaojiita watanzania wa kuzaliwa au kuasili na si wazalendo!!!! Hivi kule India na Iran nitaweza kuingia katika media na kulumbana na mzalendo wa nchi hiyo, kwa nguvu ipi??? Kama ni biashara inaweza kufungwa na ukapewa PI!!!!! Leo hii serikali yetu inafurahia malumbano ya Mengi na mafisadi ambao hawana hata chembe ya uzalendo, ambao wanaweza kutoweka hapa nchini wakarudi kwao na kutuachia magofu ya viwanda na misitu ya mashamba!!!!! Yaani tunashindwa kumpa support mzalendo badala yake tunampiga vijembe?? Au kwa kuwa fungu lake kwa kampeni za uchaguzi si kubwa?? Lakini yeye anawekeza kwa jamii ya kitanzania na kusaidia katika huduma za kijamii!!! Hawa mafisadi wameshasaidia hata kidogo jamii???? Ninachojua wanajiweka mbele kwa viongozi ili mipango na michoro yao ipite!!!!! Ukitoa mili 500 za uchaguzi unapata punguzi la tax bil 5!!!!!! Wizi mtupu!!!! We need to wake up now!!!!
 


Mwenye picha ya Tanil atuwekee hapa Please

Huyu hapa anatoa zawadi kwa Mwapachu na Said Mwema na miss Tanzania

67986.jpg
.

tanil+somaiya2.gif

 
Hili suala la kutoa msaada hata kwa serikali (hizo pikipiki) au katika shule limekuwa linapita bila kumulikwa na matokeo yake ndio tunayaona.
 
Naona sasa ukombozi wa Mtanzania unakaribia. Alichokianzisha mzalendo Mengi lazima tukiendeleze. Tatizo letu kubwa ni kuoneana haya. Moto huu usizimwe mpaka uwachome mafisadi wote na wapambe wao akina Sophia Simba, George Mkuchika na TBC! Kwa kuazima maneno ya Mtikila, SAA YA UKOMBOZI NI SASA!
 
Kela, kweli tunahitaji kuandamana nchi nzima ili moto huu usizimikie Kempisk. Mafisadi wanapaswa kutueleza yote kabla ya moto huu haujazimika. Waseme walivyowadanganya wadanganyika wakati wa kampeni za 2005 kwa kutumia kalamu, Manyerere upo? Nakumbuka sana makala yako moja ulivyokufuru kwa kumfananisha JK na Nyerere ati kwa kuwa alikuwa akiongea kwenye mikutano ya hadhara bila kusoma kwenye karatasi lakini hukuandika makala pale JK alipobanwa na kigugumizi wakati wa mahojiano na Dr Shaka Sali wa VOA, hukuona kimeo kile?
 
Na mimi kesho nitakutana na waandishi wa habari pale kwa mama lishe..........waandishi mtakuwepo.
 
Kijitu chenyewe mbona kinaonekana kama hakijaenda shule............ndio kitusumbue wtz wote sisi.
Au tuanze kuchoma moto manyumba na maviwanda yote ya mafisadi............
 
Kweli Idd Amin Dada anaakili...........aliwafukuza mpema kabla hajaleta madhara.........hongera Amin
 
Wacha akutane na waandishi maana inaonyesha wameshajipanga kumjambisha Mengi ,ila WaTanzania msiwe na pupa hivi ni vita vya wenyewe kwa wenyewe ,hawa ni wafadhili wakuu wa Serikali ya Sultani CCM ,hawa ndio wanaochangia mfuko wa Sultani CCM ,hawa ndio wanaowahonga wasimamiaji wa Uchaguzi ,hawa ndio wanaowanunua mawakala wa upinzani ,hawa ndio wanaotumika katika kuchangia ili Sultani CCM afanikiwe katika kufanya hujuma za kukwiba kura na kugeuza matokeo ,hawa ndio wanaoiua Tanzania kwa kuwatumia wafuasi wa Sultani CCM kupitisha mikataba mibovu isiyona faida kwa Taifa hili la Tanzania ,hawa hawana rangi kuwa ni weupe au ni weusi ,hawa ni watu ambao sura zao utaziona zina uchungu na Taifa hili wakati wanapofanya mikutano na vyombo vya habari ,lakini ndani ya mioyo yao ni maadui wakubwa wao na chama chao wanachokisapoti. CCM imewalea kwa kuwatunza na kuwapa uhuru wa kufanya lolote walitakalo leo ni matajiri wakubwa kutokana na hila na ulaghai ,kiasi cha kuifanya serikali ya Sultani CCM isiweze kuwachukulia hatua yeyote ile na kubaki viongozi wake wakisema ,sheria ifuatwe ,sheria iheshimiwe ,haifai hiki na hakifai kile ,uwongo mtupu kuanzia juu mpaka chini ,hivi ikiwa serikali haiheshimu sheria nani atakaejali kama kuna sheria inayofaa kufuatwa ,zaidi tutaonewa mimi na wewe masikini za Mungu tusio nakitu,ndio maana wakikuona umepanga mafungu ya muhogo na malimau wanakuja na kukubomolea na wakikukamata wanakusweka hata jela wala hawafanyi kesi au kukupeleka mahakamani ,sheria wanazileta na kuziona zina maana ikiwa tu wahusika ndani ya serikali wanahusika na ubadhirifu ,hapo sheria zote zitawekwa hadharani ,wakipita na majalada ya kesi kwenda nayo kulia na kushoto ,ukiwauliza kuna kubwa lipi mbona kesi haziendi zimekwama ,wanakwambia uchunguzi haujakamilika au utawasikia wakisema hali ni ngumu kupambana na watu hawa !

Majina ya wanaoingiza unga ( Cocaine wanayajua)
Majina ya mafisadi bandarini wanayajua.
Majina ya mafisadi wa BOT wanayajua.
Majina ya mafisadi EPA wanayajua.
Majina ya Mafisadi Radar wanayajua.
Majina ya ya ya ya ya yote wanayajua ,hivyo kila kitu wanakijua ,sasa lipi liwashindalo kuwachukulia hatua za haraka watu hawa ? Serikali kama imeshindwa kuwachukulia hatua itangaze hadharani ili isiwasumbue wananchi na maneno ya kila siku ,kuwa tunawajua ,majina tunayo na hiki na kile ?

jamani uopngozi na utawala wa Nchi hii kama umewashinda basi isiwe mbinde ondokeni madarakani ili muwapishe wanaoweza ,Kikwete hujaharibu kitu ikiwa utaamua kutangaza kuwa umeshindwa kazi ,na sio umeshindwa bali kutokana na maswahiba wako kuwa wahusika wakuu na hivyo inakuwia vigumu kuweka sheria ya msumeno ,hakuna kubwa tangaza rasmi na hakutakuwa na shida wala kelele kutoka kwa wananchi ,naamini kabisa watakuelewa na pengine kuzidi kuheshimika .maana jitihada zako za kupanga na kupangua zimegonga mwamba na watu hao unaowapanga wamekuwa sugu na hawafuati amri zako tena ,wanajifanyia wanavyotaka wao ,hivyo ni bora uwatupe mkono na kutangaza kuivunja serikali na kila mmoja atajijua namna ya kujipapatua ,itakapokuja serikali ya kweli isiyo na uswahiba ,Kikwete tunakusikia unaposema sheria zifuatwe kwa kuwa na utawala bora unaofuata sheria na kila Mtanzania ana haki ya kuhukumiwa na kufunguliwa mashtaka kwa mujibu wa sheria ,lakini leo ni mwaka wa tatu tokea malalamiko yatokee ,waliojiuzulu wamejiuzulu ,uliowapangua umewapangua ,lakini kumekuwa na ucheleweshaji wa makusudi unaofanywa nawatendaji walio chini yako ,wakidai wanafuata sheria kuyafikisha na kuzisikiliza kesi lakini hao wote ni waongo na hawana moja wanalolifanya zaidi ya kunua muda kwa kutumia upole wako,hivyo mpishe mwengine ambae atapimwa kwa kuharakisha kuwapatia WaTz hatima ya kukabiliana na mafisadi kwa haraka. NCHI INADIDIMIA KATIKA DIMBWI LILILOHATARI SANA.
 
Last edited:
Mengi anahitaji ushauri nasaha.... alikurupuka na hatimae sasa tupo hapa tulipo tunajadili malumbano ambayo by far hayana tija yeyote zaidi ya kutunisha mifuko ya waandishi na wapambe wa kambi zote mbili. Kuna msemo akutukanae kilabu cha pombe na wewe mjibu huko huko kwani asubuhi ukimwambia jana ulitukana atakuambia sikumbuki ilikuwa ulevi tu. Sasa mnaotaka waende mahakamani hakuna wa kwenda huko tuwaache wapashane tu...

Kwa kiwango chochote kile ili ufanikiwe kibiashara Bongo ( katika mazingira yaliyopo ) lazima ucheze foul hapa na pale...na believe me hakuna msafi wote hao ni wachafu.

Katika hali ya kawaida katika mpambano huu washindwa ni sisi wananchi wa kawaida lakini kwa kuwa sometimes it help in passing time then its ok lets enjoy the movie...
 
Nafikiri tukatafute Rais mwingine wa kukodi mwenye akili kama za Idd Amin Dada aje ainyooshe nchi hiii.!!

Idd Amin Dada was a racist and facist like Hitler, kumbuka mtaanza na wahindi leo, kesho itakuwa wachaga au wahaya etc.
Badala ya kuendekeza mawazo ambayo hayana tija na taifa, mngeendeleza mjadala wa maana. Where we dare to speak opnely does not include inciting, racist talk.....
 
Mnakumbuka hawa 'jamaa' zetu walivyoingia kwa vishindo kugombea nafasi za ubunge na kufanikiwa. Ninaamini agenda yao ilikuwa ifike siku apatikane Rais wa nchi yetu mwenye nywele zilizonyooka kama zimetiwa relaxer. Watch out guys hawa watu ni hatari, hatujui huwa wanapanga mikakati gani kwenye 'Jamatini' zao. Nawashangaa sana wanaosema kwamba tunawabagua kwa rangi yao. Kwa nini hatujiulizi kwa nini ni rahisi kuoa mzungu kuliko mhindi? Miaka nenda rudi wamekuwa wakiishi kwa kujitenga na Waswahili. Aliyewaweza alikuwa Nyerere na ofcourse Sokoine wakati wa uhujumu uchumi! Hawa wanahitaji kudhibitiwa!
 
Serikali ina mtazamo gani kuhusu hili suala la kila mtu kuongea na waandishi wa habari na kuanza kutoleana kashfa?. Mwisho wake ni nini?
 
Kweli Idd Amin Dada anaakili...........aliwafukuza mpema kabla hajaleta madhara.........hongera Amin

In the rule of law, there is no room for such silly move done by Amin. Uganda had to pay back dearly for that sin done by Amin. International Community will not sit back and watch you commit such crime.

Solution: We have to abide to the rule of law. Pili, Uongozi wetu umepoteza uzalendo kwa kuuza utu wao na kuendekeza zaidi ulafi wa madaraka et al.
 
Mhindi kuchomwa haina ubaya. Afterall, mwisho wao huwa kuchomwa. Sasa ukiwahi kuwachoma ni kuwa unakuwa umeiharakisha process hiyo tu. Hapa hamna jipya lolote litakalokuwa limetokea.

Sidhani kama mtu na akili zake ataenda kuwauwa Masingasinga. Hawa hawana matatizo na mtu na sina matatizo nao. Wakati wahindi wanachimwa, wale wote walionunuliwa na Wahindi, watakuwa wanatia maji maana wao watafuata. Kitendo cha kuchoma kila mhindi utakuwa ni ushamba wa hali ya juu. Na kazi ya kubeba kuni za Wahindi wote nani ataifanya. Ndiyo maana inatakuwa kutafuta wale wote waliohusika kuleta viongozi ambao wamewafungulia milango ya hazina yetu, na kuwachomelea mbali. Simple like that. Hamna ubaguzi hapa. Nani kasema ni Mhindi tu? Kuna Mnyamwezi, Mmasai, Makonde, Mchaga, Mpare, Mhaya nk na hadi Vifisadi vitoto. Wanajulikana na haitakuwa shida kuwakamata na kuwachoma kama mende.

Msituchose na kututisha na neno MBAGUZI. Ita unavyotaka ila mjue, WATANZANIA SI MABWEGE TENA. Tumechoka kuliwa na tunajua nani anatula. Tutamrudi kwa mapenzi yaleyale aliyotuonyesha sisi. Yes, yes, we love you too Mafisadi na watoto wenu.

Unajua hakuna kitu kibaya kama kutomjua adui yako ni nani. Pili, hakuna dhambi mbaya kama ubaguzi na kuruhusu hiyo dhambi kutawala zaidi mawazo yako na emotions ambazo zinacompromise maamuzi ya watu.
 
Tatizo la viongozi wa tanzania ni njaaaaaaaaaaaaaaaa and lack of creativity ndo maana tanil anathubuti kusema ajausika na radar!!
 
Back
Top Bottom