Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
- Thread starter
- #21
Mawaziri wa JK wanahitaji msaada mkubwa... Aidha ni tatizo la kujiamini kupitiliza ama ukurupukaji. Game lilikuwa mwanzoni sana, wakatia pua... Hawatakiwi kunyamaza kwani wanaonyesha wapi wameegamia, walitakiwa wamkemee hata RA ambaye kaenda zaidi ya kutumia televisheni moja!Sophia Simba na mwenzie Mkuchika mbona sijawasikia wakimjibu RA?....Double standards au ndo mambo ya ukipofu.....?
Kabla ya kudandia hizi treni kwa mbele mawaziri wetu wawe makini sana.