Tani 1.5 ya pembe za ndovu toka TZ zakamatwa Hong Kong

Mbona wanatekeza Bangi? Kwa nini tusiuze bangi tujenge Mashule?

Biashara na matumizi ya bangi yanakatazwa kutokana na madhara yake kwa afya ya binadamu. Biashara ya meno ya tembo ilipigwa marufuku kwa sababu inahatarisha kutoweka kwa tembo [species extinction]. So, yeah, these are two different things! Shehena ya meno ya tembo iliyoko kwenye maghala imetokana na Tembo ambao wameshakufa tayari. Binafsi sioni ni kwa namna gani kuuza haya meno kutachochea ujangili. CITES wametoa namba kwa kila jino lililoko ghalani [they are all marked]. Ukiuza haya meno kwa kufuata taratibu za CITES kwa mnunuzi anayejulikana/aliyeteuliwa na CITES, tatizo liko wapi? Sasa, kwa kusema haya haina maana kuwa ninaitetea CCM. In fact, ninachukia sana siasa na wanasiasa [hususan wana-CCM] na ningekuwa na uwezo ningepiga risasi wote. Mimi ni mdau wa uhifadhi/utalii, na matatizo mengi ninayoyaona porini ni kutokana na hawa wanasiasa kutotenga fedha ya kutosha kwa ajili ya ku-support uhifadhi. Kama ungejua ni kwa namna gani Askari Wanyamapori wanapata shida huko porini usingeweza kusema meno haya yachomwe moto. Actually, burning the ivory, in my opinion, is the dumbest idea ever!
 
Kwani hatuwezi kuzitumia humu humu ndani ya nchi mpaka tuuze nje? Hayo ni matunda ya kazi ya CCM. Shamsa Mwangunga anasemaje? Mambo haya ya ovyo toka enzi za Zakhia akiwa maliasili!
 
Kwa hiyo kwa mtazamo wako askari wa game wakilipwa mshahara mkubwa ujangili utakoma? Huoni kuwa inawezekana kabisa huyo huyo anayetoa orders kuhakikisha kuwa hakuna ujangili unafanikiwa ndiye huyohuyo anayeweza kutoa orders kwamba upande fulani wa mbuga kutakuwa na wazalendo wanawinda, hakikisheni hawasumbuliwi ili nanyi msipate usumbufu kwenye ajira zenu? Tena ukizingatia unono wa mishahara ni nani atakaye kubali kuharibikiwa?

Pale serikali ilipopigania kuuza bidhaa hizo haramu wataalamu wa mambo wakasema hapana. Vinginevyo tembo wangeendelea kuuawa na biashara kufanyika legally kwa kigezo cha kuuza stock iliyokamatwa. Usithubutu kumpa upenyo mswahili.

Yes. Kama haitakoma, itapungua kwa kiasi kikubwa. Wataalamu unaosema walipinga tu lakini hakuna aliyeweza kuonyesha link between one-off sale of ivory stockpile and poaching. Baadhi ya wanasayansi walijikuta wakiunga mkono hoja za interest/advocacy group. No evidence. Sasa unapokuwa scientist na kufanya advocacy [issue advocate], unajimaliza kwa sababu watu hawawezi kuamini study zako wakati inafahamika kwamba you are advocating for a particular issue [i.e. you are inherently biased].

Hey, check out this paper which was published in the Journal Science by the experts you can undoubtedly refer to as Elephant Authority. They have been studying elephants for their entire career. They wrote this paper in the wake of the last CITES conference in Doha. In this paper, they decided to take the position of Issue Advocate - writing strategically to influence the outcomes of the conference. All said, they failed to establish the link between legal sale and poaching!
 

Attachments

  • Wasser et al_Elephants, Ivory, and Trade.pdf
    394.9 KB · Views: 39
Pure politics
Leo ndio mnajidai kuwakumbuka game scouts kwa kuuza pembe ili mwalipe vizuri no way zichomwe tu kwanza hao game scouts ndiyo majangili menyewe yanashilikiana majangili kina Kinana.

I believe you don't know what you are talking about. Advice: Next time try to understand first before commenting on something.
 
lakini jamani vutu vingine tunajitakia wenyewe. hebu pata picha kama hii biashara ingekua imehalalishwa haya yote yangekuepo?
hebu imagine pembe za ndovu zingekua zinavunwa kama unavyovuna miti vile, yaani tembo akifika miaka fulani basi auwawe na pembe zake ziuzwe hivi haya matatizo yote yangekuepo? and ontop of that serikali ingekua inapata ushuru,inaongeza ajira ,na exports pia.
I know I may sound ubsurd but just take time and think of the positive side. In some countries these elephats are a big problem,their population is too large for their natural habitat ,so they get out of control,destroy crops, kill people and so on.
I wish the goverment could just legalise this trade/
 
Hii nchi nawaambiwa kama ccm watarudi madarakani basi tuombe mapinduzi ya kijeshi!

Mkuu jeshi lipi? la mwamnyange? sahau. ni kama wote walishavalishwa sketi. (simaanishi kuwadharau wanawake)
 
Yes. Kama haitakoma, itapungua kwa kiasi kikubwa. Wataalamu unaosema walipinga tu lakini hakuna aliyeweza kuonyesha link between one-off sale of ivory stockpile and poaching. Baadhi ya wanasayansi walijikuta wakiunga mkono hoja za interest/advocacy group. No evidence. Sasa unapokuwa scientist na kufanya advocacy [issue advocate], unajimaliza kwa sababu watu hawawezi kuamini study zako wakati inafahamika kwamba you are advocating for a particular issue [i.e. you are inherently biased].

Hey, check out this paper which was published in the Journal Science by the experts you can undoubtedly refer to as Elephant Authority. They have been studying elephants for their entire career. They wrote this paper in the wake of the last CITES conference in Doha. In this paper, they decided to take the position of Issue Advocate - writing strategically to influence the outcomes of the conference. All said, they failed to establish the link between legal sale and poaching!

Zungu, huyo Sam Wasser wa UW (University of Washington) amefanya kazi nyingi sana za tembo na anajua sana matatizo ya poaching na nini kilichotokea baada ya Zimbabwe na Bots kuruhusiwa na Cites kuuza meno yao ya tembo. Tembo wengi wa E. Africa waliuawa na mzigo kupitishwa huko huko kusini. Hii biashara ni ngumu sana. Hebu jaribu kusoma zaidi matatizo ya biashara hii na kama hutabadili mtazamo wako basi utakuwa na lako jambo.

lakini jamani vutu vingine tunajitakia wenyewe. hebu pata picha kama hii biashara ingekua imehalalishwa haya yote yangekuepo?
hebu imagine pembe za ndovu zingekua zinavunwa kama unavyovuna miti vile, yaani tembo akifika miaka fulani basi auwawe na pembe zake ziuzwe hivi haya matatizo yote yangekuepo? and ontop of that serikali ingekua inapata ushuru,inaongeza ajira ,na exports pia.
I know I may sound ubsurd but just take time and think of the positive side. In some countries these elephats are a big problem,their population is too large for their natural habitat ,so they get out of control,destroy crops, kill people and so on.
I wish the goverment could just legalise this trade
/

Inaonekana hujui kabisa matatizo ya ujangili na biashara ya pembe za ndovu. Pia hujui nini kilitokea hadi CITES wakaingilia kati kuwaokoa hao tembo kwa kusitisha biashara ya pembe za ndovu 1989. Hata angekuwa ni tembo mmoja amevamia mazao wananchi wataon ni tembo kibao. Suluhu siyo kuwachinja na kuuza meno. Ni kujaribu kuimarisha uhifadhi na pia watu waache kuvamia maeneo ya hifadhi za wanyama.
 
Tatizo unapopiga marufuku biashara yeyote bila kwanza kuelimisha watumiaji (end users) madhara yake ni kazi bure. Kuna mifano mingi tuu kuanzia USA na prohibition ya 1930 walipokuwa wanazuia pombe matokeo yake yalikuwa ni ongezeko la organised crime kina Al capone wakatawala hadi walipohalalisha. Angalia hivi sasa tatizo la drugs Mexico wameuana si mchezo official numbers zinakaribia 30,000 na no end in sight, ndio maana baadhi ya watu wameanza kuangalia namna ya kuhalalisha hayo madawa ya kulevya.

Kwenye pembe ni hivyo hivyo kule China na Hongkong watumiaji wa pembe ni wengi na haijalishi kama huku kwetu na CITES tunaruhusu au kukataza hiyo biashara it makes little differences, as long as kuna wachina wako tayari kununua pembe basi bahati mbaya tembo wetu wataendelea kuuwawa.

Ila mi naona it is a bit absurd kuwa pembe halali yaani zile zilizotokana na natural death kwa tembo zisiruhusiwe kuuzwa, it does not make sense...
 
Hii nchi nawaambiwa kama ccm watarudi madarakani basi tuombe mapinduzi ya kijeshi!

unajua kuna haja ya kuwa na ubabe ukituhumiwa unapelekwa pale jangwani unachapwa risasi halafu tunalaumiwa na haki za binadamu then tunomba radhi lakini nchi inaendelea
 
At least 4,000 elephants are killed each year across Africa to supply the illegal ivory trade, according to the conservation group WWF.[/COLOR][/SIZE][/FONT]

ALeqM5jlrWUqSf-bNMoRkJqEqbSxakjvnA


Nyara zilizokamatwa!


http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kinanaa.jpg
 
unajua kuna haja ya kuwa na ubabe ukituhumiwa unapelekwa pale jangwani unachapwa risasi halafu tunalaumiwa na haki za binadamu then tunomba radhi lakini nchi inaendelea
kama china vile...safi sana
 
Kuna Taarifa katika magazeti kadhaa leo kuwa tani kadhaa zenye thamani ya mamilioni ya shilingi yamekamatwa China yakitokea Tanzania (Zanzibar). Je kuna anayeweza kulisemea hili toka katika Wizara ya JK ya Maliasili, Utalii? Au ndio kila mahali hakuna msimamizi?
 
Kuna Taarifa katika magazeti kadhaa leo kuwa tani kadhaa zenye thamani ya mamilioni ya shilingi yamekamatwa China yakitokea Tanzania (Zanzibar). Je kuna anayeweza kulisemea hili toka katika Wizara ya JK ya Maliasili, Utalii? Au ndio kila mahali hakuna msimamizi?

Hivi katika shehena ya pembe za ndovu walizotaka kuuza na kukataliwa na CITES ilikuwa ni tani ngapi? Na sasa zimebaki tani ngapi?
 
kuna taarifa katika magazeti kadhaa leo kuwa tani kadhaa zenye thamani ya mamilioni ya shilingi yamekamatwa china yakitokea tanzania (zanzibar). Je kuna anayeweza kulisemea hili toka katika wizara ya jk ya maliasili, utalii? Au ndio kila mahali hakuna msimamizi?
magazeti gani?
 
Kwanza zile za Thailand ilikuwaje wakuu maana tuliishia kuchagia kidogo basi, na sasa China nayo sijui itakuwaje? JF tunapata taarifa mhimu sana lakini kuzifanyia kazi naona bado, tuwezeshwe sasa ili tuwe mtandao wa usalama wa nchi zaidi kuliko ilivyo sasa. Tupewe meno wakuu ili tulinde mali za nchi yetu. Pamoja tunaweza, why not? Nawakilisha.
 
Back
Top Bottom