Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Kuna manung'uniko ya wananchi dhidi ya Mh. Rais kutokana na Mh kuwa busy na safari za nje wakati wanyonge wakiendelea kupoteza maisha akiwa hajali. Mbaya zaidi Mh Rais amelitumbukiza taifa ktk hofu ya magaidi wa alqueda na alshabab kwa kujitolea bila kuombwa kutoa mahakama za Dar es Salaam kuendesha kesi za maharamia wa kisomali. Wananchi wamemshangaa Rais akiwa na juhudi ya kuzima moto kwa jirani wakati hata kwake kuna matatizo makubwa. Punguza safari Mh.