Tangu lini gazeti la majira mmeanza udaku?

Anna Deo

JF-Expert Member
Jul 10, 2011
563
272
Wapendwa wanajf wenzangu nimesikitishwa sana na gazeti la majira kuipa kipaumbele habari
 
naomba ufahamu ndugu yangu,yaani mbele ya fedha hizi zinazomwagwa na magamba kuichafua cdm hadi utu unawekwa mfukoni,but the truth is cdm has been here from God's power,wote wanaotafuta kuisambaratisha wanakesha bure.
 
Siona Tatizo lao!! Kwani sisi wenyewe ndio tunatakiwa Tuwafundishe adabu!! Tuache Kabisa kununuAa Magazeti yao!! Itakuwa ni adhabu nzuri sana Hiyo!! Hadi wafunge Shughuli zao!! Tunajua mwanzilishi alishatangulia mbele ya Haki!! Na tunaomba hilo gazeti Limfuate Mbele ya Haki
 
Siku nyingine uwe unaweka link au kuweka habari hiyo hapa kwani sio wote wananunua majira.
OTIS
 
Mwananchi,Tanzania daima,Nipashe,The Guardian,The Citizen na mwanahilisi!ndio magazeti nayopendelea kusoma,sio huo uchafu mwingine
 
Wapendwa wanajf wenzangu nimesikitishwa sana na gazeti la majira kuipa kipaumbele habari ya migogoro ndani ya chadema badala ya kujali ubunadamu zaid kama magazeti mengine na kuipa kipaumbele habar ya kifo cha dada yetu regia mtema.sijajua majira wamefanya ivyo kwa mantiki gani! Mwenyezi mungu awasamehe na ailaze pema roho ya marehemu.

Wanachochea wanachoita mvutano wa kugombea madaraka.Hiyo ni habari maalum iliyopikwa na magamba kwa malengo maalum.
 
Siku hizi gazeti la majira limekuwa likiandika habari za uongo dhidi ya chadema.Lilianza vita na chadema tangu uchaguzi wa Igunga.Sera za gazeti hili zilishabadilika tangu wakati Nape alipofanya ziara ya kutembelea vyombo vya habari.Kinachotakiwa wanaChadema wasusie gazeti hili.Lilishindwa hata kuvumilia msiba umalizike ndio waandike habari zao za hovyohovyo?
 
Mwananchi,Tanzania daima,Nipashe,The Guardian,The Citizen na mwanahilisi!ndio magazeti nayopendelea kusoma,sio huo uchafu mwingine

Mkuu hata Mtanzania wamebadilika wanaamdika habari za kweli
 
Wapendwa wanajf wenzangu nimesikitishwa sana na gazeti la majira kuipa kipaumbele habari ya migogoro ndani ya chadema badala ya kujali ubunadamu zaid kama magazeti mengine na kuipa kipaumbele habar ya kifo cha dada yetu regia mtema.sijajua majira wamefanya ivyo kwa mantiki gani! Mwenyezi mungu awasamehe na ailaze pema roho ya marehemu.

Waandishi wa habari ufahamika kama wanaharakati wa kutetea maslahi ya taifa. Lakini waandishi hasa wa gazeti la majira wapo kwa ajili ya kubomoa upinzani hasa CHADEMA. Wakati wa msiba chacha wangwe walitumika sana kueneza habari kuwa ameuawa na CDM, kule igunga walitumika sana kutangaza habari kuwa CDM imemdhalilisha DC bila ya kutaja makosa ya dc. na sasa wameanza chokochoko baada ya kuona utulivu uliopo ndani ya CDM.
 
Wanachochea wanachoita mvutano wa kugombea madaraka.Hiyo ni habari maalum iliyopikwa na magamba kwa malengo maalum.

Kwa jinsi viongozi wa CDM walivyo wakomavu, hawa majira na magamba wao hawatapata kitu. Mimi najua zito kweli anatumiwa na magamba, lakini aangalie asije poteza umaarufu wake ndani ya cham na jamii kwa ujumla.
 
Komando Dr Salmin Amour aliwahi kulipiga marufuku hili gazeti huko Zanzibar
 
Wapendwa wanajf wenzangu nimesikitishwa sana na gazeti la majira kuipa kipaumbele habari ya migogoro ndani ya chadema badala ya kujali ubunadamu zaid kama magazeti mengine na kuipa kipaumbele habar ya kifo cha dada yetu regia mtema.sijajua majira wamefanya ivyo kwa mantiki gani! Mwenyezi mungu awasamehe na ailaze pema roho ya marehemu.

Nashukuru.nilishtushwa sana na gazeti lao la jana.
Waache watapata wanachotafuta
 
Back
Top Bottom